Uchaguzi 2020 Msajili: Vyama vya siasa vyenye lengo la kushirikiana uchaguzi mkuu vimeshachelewa

Hakuna wapinzani Tanzania, Bali Kuna wajasiriamali,
 
Nafikiri kuna tofauti kati ya kuungana na kushirikiana labda tuangalie kamusi
 
Nafikiri kuna tofauti kati ya kuungana na kushirikiana labda tuangalie kamusi

Well, tuliache la KUUNGANA kwa sababu typically ni la kisheria na hakuna sheria hiyo na vyama vyote vya siasa najua vinajua hili....

Na hili la kushirikiana kwa mtindo uleule walioutumia mwaka 2015 linahitaji sheria gani? Na Msajili anataka ataarifiwe kwa msingi UPI na ili iweje?
 
Hii kauli ya huyu kada wa ccm anayetapeli watu kwa kujiita naibu Msajili inaonyesha ule muungano wa UKAWA ndio walioshinda uchaguzi 2015 hivyo anahofu wakiungana Mara hii hujuma zitashindikana.
 
Sidhani kama wanashirikiana kwa kuunga vyama,,hawa wanashirikiana virtually,,wanaongea wanakubaliana kuachiana majimbo,etc
Ni kama mrema tu anavyoshirikiana na ccm,,haiko kisheria,haitambuliki bali ni uamzi wa tlp wamefanya na hakuna sheria itawazuia
 
atwambie tangu lini tokea vilipoanzishwa vyama vingi kuna vyama vilishirikiana au kuungana hata leo iwe ya pili?
 
Ajabu wanaotaka kuleta mabadiliko hawafahamu taratibu za nchi wanayotaka kuiongoza.

Watakuja kuwadanganya wafuasi wao hapo baadae kuwa wamekataliwa maombi yao kuungana na msajili anapendelea chama tawala.

Hiyo sheria ilitungwa kwa nia ovu. Ni wendawimu kuheshimu sheria zilizotungwa kwa nia ya kukomoa vyama fulani.
 
PLP na CCM hawana ushirikiano! Kwa ushirikiano, pande zote zinakaa chini na kuwa na maazimio ya pamoja. Lakini katika hilo mliwasikia TLP peke yake!

TLP sio chama cha siasa, ni kikundi kinachoongozwa na mzee mmoja muhuni.
 
Sasa sio Paul Silly bali Paul Brave. Utakuwa umeelewa. Hii ndiyo tafakuri. Sio takataka za akina Kawe Alumni, Nazgur na yote magonjwa mtambuka. Tunataka nchi yenye vijana smart, vijana wa kujivunia na sio wale wa buku saba. Anakurupuka na kudai: hujui maana ya maandamano. Akidhani maandamano ni fujo na virungu vya polisi. Maandamano ni matembezi ya hiari yanayolindwa na polisi na si kusambaratishwa na polisi. Lini tutafika huko? Yes, we can(Obama's voice)!
 
Anataka uteuzi tu. Amechoka kuwa naibu msajili. Anataka kuwa msajili fool! Atasikikaje? Ndio tena kujifanya hamnazo. Kwake hakuna tofauti kati ya kuungana na kushirikiana!
 

Hapo umeongea jambo la mbolea mkuu
 
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahoza amesema vyama vyenye lengo la kushirikiana katika uchaguzi mkuu wa 2020 vimeshachelewa.

Msajili amesisitiza kuwa sheria inatamka babayana makubaliano ya kushirikiana yafanyike miezi mitatu kabla ya tarehe ya uchaguzi na si vinginevyo.

Source: Swahili Times
 
Anawashwa huyo.
CDM tukiona ACT ina nguvu kata flani/jimbo hatusimamishi mgombea tunawachia ACT kama ndiyo wenye nguvu hapo.

Mataga mnahaha kama kuku aliyekatwa kichwa.
 
hii sheria imefanyiwa marekebisho au ndio ile ile iliofanya kazi mwaka 2015?
 
Msajili anaacha kazi zake anashughulika na siasa za kuisemea CCM,
Huku Zanzibar Mwinyi ameshaanza kampeni,Mabango kila kona na kwenye vioo vya matangazo barabarani.
Ingelikuwa kuna Bango moja tuu la Mali seif Msajili angeliibuka na kusema chamakitafutwa kwa kukiuka taratibu.

Kuhusu Kushirikiana kwetu kuna muhusu nini? Pili pili aso ila inamuwashia nini?
Au Yeye yuko pale kuisaidia CCM isipate upinzani wa nguvu.?
Huku Znzibar ZEC wanapiga kura siku 2 ,mbona yeye hajatowa kauli?
Au huko Bara nako wanapiga siku Mbili?
Ajabu hii, eti Zanzibar kuna watendaji wengi zaidi wa tume ambao inabidi wapige kura siku moja kabla kuliko Bara!

Vyama vina lalamika Msajili kimyaa .

CCM wanakauli mbiu USHINDI LAZIMA

2015 Tume ya Uchaguzi ZEC iliuta matokeo baada ya kuona CUF imeshinda uraisi, NEC wakasema wao hawahusiki na utumbo huo.
ZEC wakasema ni kwa uchaguzi wa Raisi wa Zanzibar na wawakilishi tuu na madiwani si kwa wabunge .
Msajili kimyaaaa ,anaona taratibu zinakiukwa mchana kweupe anaufyata kwa kuwa anayevunja ni CCM.

Bilshit. Siasa za Taka Taka na Msajili wa Vyama asiyejitambua.

SISA BADO AFRIKA HUKU NI MBAVU TUUU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…