mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
DuhHuu uzi hautakamilika mpaka mrangi apite hapa anaweza kuwa rafiki yake[emoji41]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhHuu uzi hautakamilika mpaka mrangi apite hapa anaweza kuwa rafiki yake[emoji41]
Unawazungumziaje Forbes??Waafrika hasa wabongo tuna utamaduni wa kijinga kweli kweli. Utakuta mtu anachukuwa muda wake kufuatilia maisha ya mtu na kuchunguza biashara zake zote anazofanya na kipato chake. Watu kama hawa ukiwakuta kijiweni unatakuwa wanabishana kweli kweli kati ya fulani na fulani nani ana mkwanja! Mbaya zaidi wao unakuta nguo zao zimejaa viraka na hawajui hata kesho wanakula nini!
We unafikiri Patel anaingiza sh ngapi per day?Mhhhh mkuu billion 1 kwamwezi sio mchezo kwahiyo wataka kusema walio top ten wanaingiza ngap?
Anaboa sana.. Yeye kila mahali ni kuponda tu..Jamaa mjuaji halafu mihemko kibao
Laso tena Kilema Moshi? Hapana. Ndugu yangu ameo jirani na kwao. Anatoka Kirua Vunjo, Kijiji cha Mero. Kwao ni matajiri ilianza kwa baba yao. Kaka yake naye Taijiri. Kifupi ni watafutaji na ninasikitika yanayoongelewa hapa. Ila nimefurahi hakuna hata mmoja hapa mwenye taarifa zake sahihi. Jamaa wako reserved sana down to earth na hutawasikia popote na familia zao.Huyu jamaa wa kutoka kijiji cha Laso huko Kilema Moshi ni mpambanaji haswa
Hili ndilo tatizo la wabongo wengi. Copy and Paste kwa vitu ambavyo havifanani. Wanachofanya Forbes na hao watu wa vijiweni ni tofauti kabisa... . Sio kila mnyama mwenye mkia ni Mbwa!Unawazungumziaje Forbes??
Sio kwa bidii tu Bali KihalaliMkuu msaki anahela acha wivu ana semi trellar za kutosha gari za mchanga za kutosha hotel ya double view kijitonyama tutafute hela kwa bidii.
SawaLaso tena Kilema Moshi? Hapana. Ndugu yangu ameo jirani na kwao. Anatoka Kirua Vunjo, Kijiji cha Mero. Kwao ni matajiri ilianza kwa baba yao. Kaka yake naye Taijiri. Kifupi ni watafutaji na ninasikitika yanayoongelewa hapa. Ila nimefurahi hakuna hata mmoja hapa mwenye taarifa zake sahihi. Jamaa wako reserved sana down to earth na hutawasikia popote na familia zao.
Mkuu wenzio wanaota usikuUle mjengo wa Kibo Complex dooh si mchezo, shule ya Wazo Hill, wakala wa cement etc nahisi jamaa biashara zake zinaingiza hata bilioni 1 kwa mwezi hata kama kajenga kwa kuchukua mkopo benki, jamaa ana mafanikio sana.
Halafu nasikia alipataga Div. 0 Form Six, maisha haya.
Nani anautajiri wa halali Tanzania hii?Sio kwa bidii tu Bali Kihalali
MumeoNani anautajiri wa halali Tanzania hii?
Mumeo
Jamaa mjuaji mpaka anakera, lakini yeye asiyefuatilia watu namshangaa haachagi kukibu humuUnawazungumziaje Forbes??
Washenzi na wivu tu vinawasumbua.. Hakuna tajiri anayeumia kwa tajiri mwenzake kuongelewa.Jamaa mjuaji mpaka anakera, lakini yeye asiyefuatilia watu namshangaa haachagi kukibu humu
NtarudiMbowe ana zero form six?
Kwan Walio Top Ten Wanaingiza Faida Kiasi Gan Per Month!!!?Top ten halafu unazungumzia 1b kwa mwezi.(12b kwa mwaka)? Kama ndio hesabu yake hio haingii kabisa kwenye top 10.
Mkuu hii kauli Imetokana na aliyekua Mbunge wa Kilwa Kusini Selemani Bungara maarufu Mbunge BWEGE .Nimekuwa mbali Sana na media aisee, hii kauli ina trend sana ilitokana na nini mkuu? 🙏🙏
Braza ile KIBO COPLEX ni ya ANNA MKAPA yeye ni kivuli tuUle mjengo wa Kibo Complex dooh si mchezo, shule ya Wazo Hill, wakala wa cement etc nahisi jamaa biashara zake zinaingiza hata bilioni 1 kwa mwezi hata kama kajenga kwa kuchukua mkopo benki, jamaa ana mafanikio sana.
Halafu nasikia alipataga Div. 0 Form Six, maisha haya.
SadWapo wengi sana