Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Uzi umeletwa hapa,na najibia hapahapa!kwanini ulisemee hapa kwanini unamnanga mtu hapa kama sio mipasho ni nini kijana...tena ni mtanzania, yupo tanzania, kwanini usimtafute kumueleza hio shida uliyoiona pengine ungepata hata pesa, una choose kulisema hapa kwa faida ya nani na yeye si ajabu hata hayupo humu, kama sio unafiki ni nini bwana mdogo
Wewe unataka dunia hii mambo mazuri tu ndio yawekwe wazi ila mambo ya kukosoa yasiwekwe wazi?
Unaona lidikteta hili?
Wewe unataka kila linalokufurahisha tu ndio liwe wazi ila yale ya kukosoa inatakiwa tuongee "chini ya kapeti"!
Haya mambo kafanyie chooni madikteta nyie!
Mazuri na makosoaji yote yapo hapa hapa!
Siri za chini ya kapeti kaongee nae chooni huko!
Weak people,maoga kama makunguru,kama unajiamini huogopi makosoaji,you weak ass motherfvckers....
Y'all so weak minded Fvckers!
We cant help ya with your weak minds!