Msamaha: Mzee Kinana amuangukia Rais Magufuli kufuatia mazungumzo yake na makada wenzake wa CCM yaliyovuja

Msamaha: Mzee Kinana amuangukia Rais Magufuli kufuatia mazungumzo yake na makada wenzake wa CCM yaliyovuja

Wana CCM ni watu makini,magomvi yao huwa wanayamaliza na yanaisha

Kinachowaunganisha wanaccm ni dhuluma walizozifanya ndani ya nchi hii. Hivyo yoyote aliyeshiriki kwenye unyama ndani ya nchi hii, hana lolote anaweza kufanya akiwa nje ya huo mfumo haramu. Siku CCM inatoka madarakani ndio utakuwa mwisho wa wanachama wake majizi kuwa wamoja.
 
Who is a dictator? A dictatorship is a form of government characterized by a single leader or group of leaders and little or no toleration for political pluralism or independent programs or media
Yapo mengi ila wewe ndo unayaona kwa kuwa umepofuka, pia ni mawazo ya moyo wako tu kwa kuwa uliishi kwa mazoea.
Mambo yanabadilika bwashee.
 
Kinachowaunganisha wanaccm ni dhuluma walizozifanya ndani ya nchi hii. Hivyo yoyote aliyeshiriki kwenye unyama ndani ya nchi hii, hana lolote anaweza kufanya akiwa nje ya huo mfumo haramu. Siku ccm inatoka madarakani ndio utakuwa mwisho wa wanachama wake majizi kuwa wamoja.
Sio kweli ni dhana tu. CCM ya Dr JPM inapambana sana na mafisadi na wabadhilifu. Hata mbowe kuna siku zile bil 8.9 alizoiba zitamtokea puani
 
Muungwana ni vitendo

Majuzi Mchungaji Msigwa kamuomba radhi Kinana tena hadharani... naye Kinana Leo hii anamuomba radhi Magufuli

Goes around comes around..
 
Sio kweli ni dhana tu.CCM ya dr JPM inapambana sana na mafisadi na wabadhilifu.Hata mbowe kuna siku zile bil 8.9 alizoiba zitamtokea puani

Magufuli hajawahi kupambana na ufisadi wala mafisadi, wote aliowachukulia hatua kwa kisingizio cha ufisadi ni wale alihitilafiana nao kabla ya kuwa Rais. Hivyo anachofanya ni kuwakomoa kwa kigezo cha kupambana na ufisadi.

Kama kweli angekuwa anapambana na ufisadi, Kange Lugola angekuwa jela leo hii.
 
Acha kumzushia mzee wa watu. Mwacheni apumzike. Mbona hakuna picha/video za Nape akipembea barabara ya Ikulu kwenda kuomba msamaha? Acheni uongo wenu huo.
 
Bado Jasusi M-bobezi Membe...
IMG-20200604-WA0052.jpg


Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Hahahahha.. Tukiwaonya bavicha waache tabia ya kushangilia ujinga watakuja kuumbuka. Ona sasa sifa zote walizokuwa wanampa Kinana itabidi watapike
Na ndio maana mimi naamini kwamba business ya CCM waachieni CCM wenyewe. Wapinzani walishaambiwa wafanye yanayowahusu hawataki kusikia.

Haya sasa utaona Kinana na JPM wanakunywa chai pamoja sasa sijui watasemaje sasa. wajenge vyama vyao waachane na magomvi na misuguano ya ccm haviwasaidii.
 
muungwana ni vitendo

majuzi Mchungaji Msigwa kamuomba radhi Kinana tena hadharani. Naye Kinana Leo hii anamuomba radhi Magu

goes around comes around.

Bado jiwe kwa tundu tu

Tundu kabla ya kugombea atuombe msamaha wananchi kuwa tutashitakiwa MIGA
Na wale maprofessor aliowaita rubbish.
 
Back
Top Bottom