ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Kwa lipi?Bavicha watapasuka sasa
Kuombana pale unapojiona umekosea ni jambo jema kabisa.
Ila kama ni kwa ajili ya uoga tu haifai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa lipi?Bavicha watapasuka sasa
@tindo Acha kuwa unabwabwaja chochote kitakachokuja kichwani kwako.Kinachowaunganisha wanaccm ni dhuluma walizozifanya ndani ya nchi hii. Hivyo yoyote aliyeshiriki kwenye unyama ndani ya nchi hii, hana lolote anaweza kufanya akiwa nje ya huo mfumo haramu. Siku ccm inatoka madarakani ndio utakuwa mwisho wa wanachama wake majizi kuwa wamoja.
Hakuna kabisaWho is a dictator? A dictatorship is a form of government characterized by a single leader or group of leaders and little or no toleration for political pluralism or independent programs or media
Hilo jambo lishamalizwa. Hii ndo sifa ya CCM kumaliza mambo yao ndani.Ila ni mabingwa wa kulishana sumu
Ila wacheni style ya kumaliza mambo kwa kulishana sumu, mzee wa watu shati limempwaya hadi huruma, wabaya sana nyie viumbe.Ilo jambo lishamalizwa.hii ndo sifa ya CCM kumaliza mambo yao ndani.
Na midege ya Air Tanzania inayopishana angani imenunuliwa kwa fedha zipi ?Mkuu na zile trilioni 1.5 according to C.A.G,kuna siku zitawatokea puani waliozitafuna
Swala la kange lipo kwenye uchunguzi.Magufuli hajawahi kupambana na ufisadi wala mafisadi, wote aliowachukulia hatua kwa kisingizio cha ufisadi ni wale alihitilafiana nao kabla ya kuwa rais. Hivyo anachofanya ni kuwakomoa kwa kigezo cha kupambana na ufisadi. Kama kweli angekuwa anapambana na ufisadi, Kange Lugola angekuwa jela leo hii.
Kuomba radhi wakati maneno yameshatunzwa kwenye rekodiHabari:Kinana amuomba radhi Rais Dkt.John Magufuli kutokana na kauli zake alizozitoa baada ya kustaafu.
Wewe acha kufata makelele ya kwenye mitandao hayana maana.Ila wacheni style ya kumaliza mambo kwa kulishana sumu, mzee wa watu shati limempwaya hadi huruma, wabaya sana nyie viumbe.
Imenunuliwa kwa kodi za watanzania, lakini katika kodi za watanzania kulikuwa na 1.5T ambazo C.A.G kwenye report yake alidai kuna wajanja wamefanya yao. Sasa hao wajanja kuna siku watazitapikaNa midege ya Air Tanzania inayopishana angani imenunuliwa kwa fedha zipi ?
Chuki ya nini mkuu, huwa nasikitika sana kuona mtu humu jukwaani anakuwa siriazi na mambo ya mitandao, pole mkuu, relax maisha ni mafupi sana jipe raha, sina chuki na wewe hata kidogo mkuuLiambie hilo batamzinga
Mataga utaacha lini kuongea pumbaBavicha watapasuka sasa
Kodi za watanzania zilizonunua ndege ndio hizo trilion 1.5. Usiwe king'ang'anizi bwasheeImenunuliwa kwa kodi za watanzania,lakini katika kodi za watanzania kulikuwa na 1.5T ambazo C.A.G kwenye report yake alidai kuna wajanja wamefanya yao..sasa hao wajanja kuna siku watazitapika
Kinana kaomba radhi, vipi kinana bado ni jasiri?Mataga utaacha lini kuongea pumba
Lakini waache si kama Mh. Mbowe kwa upande wa Chadema. Wote wenyeviti lazima waheshimiweeeeee.Huyo jiwe mshamfanya mungu wenu hapo lumumba