Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani habari za kulishwa huyo Mzee sumu zilitoka mitandaoni au tulielezwa na Mamboleo, au ulikuwa bado hujazaliwa?Wewe acha kufata makelele ya kwenye mitandao hayana maana.
Hata hapa jukwaani ni mtandaoni pia na wewe hukauki humu. Kuwa mpole tu wala hakuna chuki, wenye chuki ni wale wanaoteka, kutesa na kupiga risasi wale wasiokubaliana nao kimtazamo. Mungu ibariki Tanzania.Chuki yanini mkuu,huwa nasikitika sana kuona mtu humu jukwaani anakuwa siriazi na mambo ya mitandao,pole mkuu,relax maisha ni mafupi sana jipe raha,sina chuki na wewe hata kidogo mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
kodi za watanzania matumizi yake huwa yanakaguliwa na kutolewa report na C.A.G na ni C.A.G huyohuyo ambae amepewa dhamana ya kukagua kodi zetu alisema hizo 1.5 hazijulikani zilipo kuna wajanja washafanya yao...sasa wewe ni nani tukuamini mkuu,wewe ndo mkaguzi mkuu wa mapato na matumizi ya serikali?Kodi za watanzania zilizonunua ndege ndo hizo trilion 1.5.Usiwe king'ang'anizi bwashee
Hiyo post mbona imefutwa. Ila inamhusu meko kwa asilimia zoteNa kwa lugha uliyotumia sijui kama watakuelewa lugha ya mabeberu si rafiki kwao
Haya mkuu,pamoja sanaHata hapa jukwaani ni mtandaoni pia na wewe hukauki humu. Kuwa mpole tu wala hakuna chuki, wenye chuki ni wale wanaoteka, kutesa na kupiga risasi wale wasiokubaliana nao kimtazamo. Mungu ibariki Tanzania.
Wachache wanajua kua kwasasa tuna mungu ikulyuSource wapi mkuu ila hii habari kama ni kweli kuna watu watanuna na kupasuka, Maana tayari walishaanza kusema twende na Kinana 2020 haha, Mimi nilisha sema hakuna kitu mtu ataweza kufanya akiwa nje ya mfumo, yaani nchi hii hakuna mtu aliepo nje ya mfumo anaweza kutingisha mfumo never ever hao kina Kinana kwa sasa ni kama mtu uwaoondoe meno afu uwape nyama ambayo haija iva fresh. Hata mkwere anajua ukishakuwa nje ya system huna impact tena
Ukizingatia hao wastaafu wana makandokando kibao