Msamaha: Mzee Kinana amuangukia Rais Magufuli kufuatia mazungumzo yake na makada wenzake wa CCM yaliyovuja

Sauti ya Kanali mstaafu Mzee Abdulrahman Kinana haikubaliani na mwili/ mdomo wake ni kama analazimishwa vile atamke maneno au kawekewa aina ya shindikizo?
 
Yapo mengi ila wewe ndo unayaona kwa kuwa umepofuka, pia ni mawazo ya moyo wako tu kwa kuwa uliishi kwa mazoea.
Mambo yanabadilika bwashee.
Mbona umejibu tofauti na quote yenyewe? Au ukiwa CCM ndiyo excuse ya kunifanya Bia yetu
 
Mkuu unahangaika na matanga??
 
Nakumbuka we jamaa niliwahi kukuletea clip juu ya kufufua reli ya Moshi toka Dar mwaka 2017 nadhani ukanambia hzo ndoto tu huyo Rais wenu hana uo ubavu! Nikakuambia muda utaongea ila nimeona mwaka jana December wachaga wakila nyama choma kwa mabehewa!
 
Mnaomsifiaga member ni jasusi mbobezi kumbe hana lolote aliongeaje na mapapai ya chato bila kujua
Huyu kinana na nape ni sawa na mapapai yaliyoenda mpaka chato na yakaomba yapimwe corona kwa jiwe
 
Umemsikiliza vizuri Kinana? Umemuelewa? Unajua ethics za uongozi wewe? Unajua umuhimu wa kipindi hiki kwa chama kuelekea uchaguzi mkuu?

Sasa elewa kuwa mzee Kinana ameombwa radhi ili kunusuru chama na kimaadili kaombwa aseme yale hadharani kurudisha imani ya wanachama.

Ndio maana hata lugha yake (tone) ilikuwa na dharau ndani yake. Mavuvuzela hamuwezi kuelewa hapo hata mpigwe nyundo kichwani
 
Nimeusikiliza msamaha huu na jana nimeona kwenye TV news Kinana akiomba msamaha, hivyo sasa nakiri kwenye bandiko hili
Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity
I was wrong kumhusu Kinana, sasa kwenye list ya kuomba msamaha bado Makamba na Membe.

P
 
Ukiwa mwanasiasa Ni Bora kusimamia kauli zako.
 
Mkuu acha kuzalisha Yale mwomba msamaha hakuyasema,wala hayamo moyoni mwake, tofauti na hapo ni ramli tu hii ufanyayo,

Kikubwa kinana kaomba msamaha kwa kinywa chake,hayo mengine ya kwambo sijui body language Mara tone tuuachie moyo wake maana ndo unajua dhamira yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kusema humu, hakuna aliyeshindana na mwenye mamlaka akashinda, mtu hata kama alikuwa Rais wa Nchii akishatoka madarakani hawezi kushindana na Rais aliyeko madarakani alashinda na ndio maana Mkapa, Kikwete na Mwinyi wote wanatulia kwakuwa wanajua Rais ana mamlka makubwa
 
Nimewahi kusema hii kitu humu, mfumo ndio kila kitu na wote hao wanajua ndio maana hawawezi kuleta fyoko fyoko wakafanikiwa
 
Due force of gravity, sometimes even rivers can start flowing upwards a mountain.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lumumba Bwana waliamua ''kumshit" huyu mzee na "madini" yake ..wakaja kustuka "kumekucha" baada ya Mchungaji Msigwa "kufanya yake" wiki tatu zilizopita...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…