Msamaha wa Spika Ndugai kwa Rais Samia ni kifo cha mende kwa lile kundi

Jamaa mburula hii unalazimisha ugonvi ambao haupo!!?
 
Halafu 2025 CCM inarudi madarakani ikiwa na Mama Rais, Ndugai Spika na Majaliwa PM wanaanza kulalamika eti wameibiwa kura, wakati muda wote wamo JF wanapiga umbea wa CCM huku vyama vyao vikifa vikiwa vimelala yoyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…