Msamaha wa Spika Ndugai kwa Rais Samia ni kifo cha mende kwa lile kundi

Msamaha wa Spika Ndugai kwa Rais Samia ni kifo cha mende kwa lile kundi

..nidhamu ya ccm inatokana mwenyekiti kuwa amiri jeshi mkuu, na kuweza kutumia mamlaka yake kuwadhibiti wanaotofautiana Nate.

..kwa hiyo nidhamu ndani ya chama inapanda au kushuka kulingana na kiwango cha utayari wa mwenyekiti kutumia dola kudhibiti wanachama.
We jamaa una akili Sana. Wajinga wanasema eti ndani ya ccm kuna nidhamu
 
Walidhani wanaweza kutumia wingi wao kila idara na bungeni kutingisha gogo. Lkn wamekumbana na kisiki cha Zanzibar kikiwa kinalindwa na katiba ya nchi na chama. Wanaanzia wapi kuukata mpingo?

Aliyepewa jukumu la kukitikisa kisiki kapima kina cha maji halafu mwenyewe kaona isiwe taabu. Kwani kuomba msamaha shiling ngapi bwana??! Kajitokeza mwenyewe kuomba poo!

Huu wala siyo uchochezi. Lilikuwa battle la kweli kweli. Si mlimsikia yule mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali akiliongelea? Ilikuwa siyo mchezo.

Sasa mipango, ndoto na matumaini ya lile kundi kuirudia neema na kutamba kama mwanzo ndiyo yamekufa kabisa. Hakuna tena pa kuanzia.

Poleni sana wazee wa legacy.
The Gang imekula kwao
 
mleta mada ,inaonekana ni mzanzbar,na Kama ni mtz basi bado ni mchanga Sana kwenye siasa za hapa Tanzania,unaijua vizuri ccm!!?,muulize lowasa,sumaye ,dr.slaa,au waulize bavicha lowasa aliwafanya nn!!... Wajuvi wa Mambo wanajua nn kinaendelea na misheni ikoje ndani ya ccm. Huwa nawaambia siasa za ccm ,hata bavicha hawazijui ,pamoja na ufundi wao wa kupiga maneno!!
Usitutoe kwenye reli. Sukuma gang wamepwelepweta na kutepeta.
 
Nadhani simu ya ndugayembe itakua ilijaa vitisho vya wasiojulikana 😀😀😃 , maana alivyoomba radhi kinyonge bila shaka alifikwa na kitu kizito kichwani
Screenshot_20220103-180115.png


Angalia hapo juu kilichomsibu Ndugai masaa machache kabla ya press
 
Wanayo rejea ya uongozi wa Mwalimu Nyerere. Viongozi wanaoibuka wanajikuta wakiwa na viwango vya kufikia kimaadili na hata kibusara na hekima.

..hakuna anayemkumbuka Mwalimu Nyerere ndani ya ccm, labda Warioba, Pinda, na Butiku.

..basically, chama kimoja wachumia tumbo na kimepoteza kabisa ule msingi wa kiitikadi uliokuwepo awamu ya kwanza.
 
mleta mada ,inaonekana ni mzanzbar,na Kama ni mtz basi bado ni mchanga Sana kwenye siasa za hapa Tanzania,unaijua vizuri ccm!!?,muulize lowasa,sumaye ,dr.slaa,au waulize bavicha lowasa aliwafanya nn!!... Wajuvi wa Mambo wanajua nn kinaendelea na misheni ikoje ndani ya ccm. Huwa nawaambia siasa za ccm ,hata bavicha hawazijui ,pamoja na ufundi wao wa kupiga maneno!!
Kumbe mzanzibar si mtz?!!!...
 
Yaani ni hivi unapoishambulia CCM unaishambulia dola

.katiba hii haitenganishi CCM na dola...utakwisha siku si zako ewe mwana CCM.

Kabla huja zungumza uliza kwanza wazee wa CCK waliishia wapi ?

Msiige mambo..acheni kina Mbowe na Lissu wapiganie ukombozi wenu; nyie Paganieni ugali wa matumbo yenu.
 
..hakuna anayemkumbuka Mwalimu Nyerere ndani ya ccm, labda Warioba, Pinda, na Butiku.

..basically, chama kimoja wachumia tumbo na kimepoteza kabisa ule msingi wa kiitikadi uliokuwepo awamu ya kwanza.
Hata hao hawana free room ya kuongea...CCM ni chama mafia sana.

Kama Jaji Warioba mwenyewe anakabwa roba na WAHUNI wa UVCCM kuzuia conférence yake hivi unategemea nini...kuna chama humo ama uhuni mtupu.

Yaani polepole pamoja na kuwa na yeye ni muhuni ila ana afadhali ...wengi sana wamo na ndiyo maana tunamsaidia kuchochea kuni mbichi..
Wachomoke.
 
Kwa hiyo amaleki wanaendelea kukita mizizi......
 
mkuu umewaza kitoto sana, wale ni watu wazima wameamua kucheza mind game kuwapoteza watu ili waendelee kusuka mipango yao kimya kimya, kwa sasa ccm haitakiwi kuwaamini hawa watu maana wana ajenda zao.
Kwa kweli Majaliwa na Ndugai lao moja.
Angalia hutuba ya Majaliwa ”mungu mungu ”nyingi za kimkimchongo.
Na DHAIFU leo katuletea ”sala ” za kimchongo.
 
Wanayo rejea ya uongozi wa Mwalimu Nyerere. Viongozi wanaoibuka wanajikuta wakiwa na viwango vya kufikia kimaadili na hata kibusara na hekima.

..Magufuli alikuwa mwenyekiti wa kwanza wa Ccm ambaye hakuwahi kufanya kazi na Mwalimu Nyerere.
 
Mwendakuzimu hoiiii! Legacy imezikwa rasmi leo
Acha tuone sasa plan B ”kimya kimya” ya Sukuma GANG, kama watatoboa huko CCM, hii yakupuyanga wamezibitiwa.
Ila hotuba ya Majaliwa na press ya DHAIFU inaononesha hawa lao moja na wamejipanga.
 
Japo komondo kafia kwenye maua.. lakini ndugai kajitaidi..maana Ni mnafiki mno..
Yaani ubabe wote wa ndugai..Leo anaongea mambo ya kitoto eti nimekosa Mimi nimekosa sana..haya maneno ameyakopa kwenye sala ya wakatoloki..
 
Acha tuone sasa plan B ”kimya kimya” ya Sukuma GANG, kama watatoboa huko CCM, hii yakupuyanga wamezibitiwa.
Ila hotuba ya Majaliwa na press ya DHAIFU inaononesha hawa lao moja na wamejipanga.
Yawezekana Dhaifu kaomba radhi baada ya kuona matelefoni kamruka na kuanza kumtaja Mungu?
 
Walidhani wanaweza kutumia wingi wao kila idara na bungeni kutingisha gogo. Lkn wamekumbana na kisiki cha Zanzibar kikiwa kinalindwa na katiba ya nchi na chama. Wanaanzia wapi kuukata mpingo?

Aliyepewa jukumu la kukitikisa kisiki kapima kina cha maji halafu mwenyewe kaona isiwe taabu. Kwani kuomba msamaha shiling ngapi bwana??! Kajitokeza mwenyewe kuomba poo!

Huu wala siyo uchochezi. Lilikuwa battle la kweli kweli. Si mlimsikia yule mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali akiliongelea? Ilikuwa siyo mchezo.

Sasa mipango, ndoto na matumaini ya lile kundi kuirudia neema na kutamba kama mwanzo ndiyo yamekufa kabisa. Hakuna tena pa kuanzia.

Poleni sana wazee wa legacy.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Ukishaona speaker wa Bunge ambae ni mhimili wa dola unaojitegemea ametoa msimamo wake juu ya jambo fulani halafu ghafla akamuomba msamaha Rais kwa msimamo aliotoa, jua hilo Taifa limefika mwisho na limekufa.

Kwenye hili mtu asipoona tena umuhimu wa katiba mpya basi huyo mtu ni maiti inayotembea.

Kwakuwa mnapita karibu na jalala mnaamua kuachia na mashuz..i ili mlisingizie jalala? [emoji1787]
 
Back
Top Bottom