Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Naongelea nidhamu ya ndani ya CCM inayokifanya chama kidumu kwa miaka na miaka.Acha kujidanganya mwenyew,tegemeo kubwa lipo ktk ile katiba chakavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naongelea nidhamu ya ndani ya CCM inayokifanya chama kidumu kwa miaka na miaka.Acha kujidanganya mwenyew,tegemeo kubwa lipo ktk ile katiba chakavu
Wote pambaneni na hali yenuWalidhani wanaweza kutumia wingi wao kila idara na bungeni kutingisha gogo. Lkn wamekumbana na kisiki cha Zanzibar kikiwa kinalindwa na katiba ya nchi na chama. Wanaanzia wapi kuukata mpingo?
Aliyepewa jukumu la kukitikisa kisiki kapima kina cha maji halafu mwenyewe kaona isiwe taabu. Kwani kuomba msamaha shiling ngapi bwana??! Kajitokeza mwenyewe kuomba poo!
Huu wala siyo uchochezi. Lilikuwa battle la kweli kweli. Si mlimsikia yule mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali akiliongelea? Ilikuwa siyo mchezo.
Sasa mipango, ndoto na matumaini ya lile kundi kuirudia neema na kutamba kama mwanzo ndiyo yamekufa kabisa. Hakuna tena pa kuanzia.
Poleni sana wazee wa legacy.
Ndembe ndebe....ha ha ha ha hahaha 😆 🤣 😄 😜Yaani kwishaaa! Kwisha kabisaaa!
Hao wanaeleweka ni njama tu za kutaka kuuzima motonwa Katiba na tume huru. Japokuwa ujumbe ulishafika kwa mhusika.Walidhani wanaweza kutumia wingi wao kila idara na bungeni kutingisha gogo. Lkn wamekumbana na kisiki cha Zanzibar kikiwa kinalindwa na katiba ya nchi na chama. Wanaanzia wapi kuukata mpingo?
Aliyepewa jukumu la kukitikisa kisiki kapima kina cha maji halafu mwenyewe kaona isiwe taabu. Kwani kuomba msamaha shiling ngapi bwana??! Kajitokeza mwenyewe kuomba poo!
Huu wala siyo uchochezi. Lilikuwa battle la kweli kweli. Si mlimsikia yule mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali akiliongelea? Ilikuwa siyo mchezo.
Sasa mipango, ndoto na matumaini ya lile kundi kuirudia neema na kutamba kama mwanzo ndiyo yamekufa kabisa. Hakuna tena pa kuanzia.
Poleni sana wazee wa legacy.
Naongelea nidhamu ya ndani ya CCM inayokifanya chama kidumu kwa miaka na miaka.
Tunataka Karina mpya ya wananchi na mjadala janjakanja tunaupotezea🏃vile vile kutuhadaa kuwa hawana mgorogoro chamani ni kama uongo mwingine tu.Hao wanaeleweka ni njama tu za kutaka kuuzima motonwa Katiba na tume huru. Japokuwa ujumbe ulishafika kwa mhusika.
Kuomba msamaha ni janja tuu.
Siasa za kipuuzi sana. Hivi Spika wa Bunge na Rais si wako karibu sana.!
Ndio maana nakuomba Samia mwenye heri...Nimekosa mimi, nimekosa sana nimekosa mimi.
Kwisha kabisaaa!Nimekosa mimi, nimekosa sana nimekosa mimi.
Sisi wazalendo tusio na njaa hatuna upande,Walidhani wanaweza kutumia wingi wao kila idara na bungeni kutingisha gogo. Lkn wamekumbana na kisiki cha Zanzibar kikiwa kinalindwa na katiba ya nchi na chama. Wanaanzia wapi kuukata mpingo?
Aliyepewa jukumu la kukitikisa kisiki kapima kina cha maji halafu mwenyewe kaona isiwe taabu. Kwani kuomba msamaha shiling ngapi bwana??! Kajitokeza mwenyewe kuomba poo!
Huu wala siyo uchochezi. Lilikuwa battle la kweli kweli. Si mlimsikia yule mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali akiliongelea? Ilikuwa siyo mchezo.
Sasa mipango, ndoto na matumaini ya lile kundi kuirudia neema na kutamba kama mwanzo ndiyo yamekufa kabisa. Hakuna tena pa kuanzia.
Poleni sana wazee wa legacy.
Sukuma gang hoooi!Ndembe ndebe....ha ha ha ha hahaha 😆 🤣 😄 😜
Daah! Mkuu Asante Sana kwa ubuyu huu wa Mpendazoe a.k.a MpendazoteNakumbuka ya Fred Mpendazoe
Kina Nape, Samwel Sitta na Mwakyembe wakamjaza akaanzisha Chama cha CCK wakamuahidi watajiunga nae…nae ghagla kwa mihemko ya Kanda ya Ziwa akatangaza kujiuzulu Ubunge wa Kishapu akajiunga chama kipya…
Jimboni aliekuwa anamshawishi ajiuzulu Ubunge kupinga 'ufisadi' wa Kikwete ndio akachukua form ya jimbo lile lile kupitia CCM na Team ya Kampeni kumtokomeza ikaundwa na Wale wale waliokuwa wanamshawishi akapotea na chama chake kikafa kabla hakijapata Uhai
Ndugai kastuka mapema
Ni mpuuzintu anawezakubaliana na yanayoendelea.CCM ni watu wanaounganishwa na chama chenye uzoefu mkubwa sana wa siasa. Wanajua namna ya kukaa pamoja baada ya kuwa na mpasuko.
Ni sawa na akili za fisi kutegemea siku moja utokee mpasuko mkubwa ndani ya chama. Sio kama TLP au NCCR, kile ni chama chenye misingi imara sana.
Kwa hiyo hapa unashangilia kitu gani?Kwa katiba hii, hakuna namna CCM itakaa iondoke madarakani bila ya yenyewe kusambaratika.
Ndiyo maana wenye akili wanashangilia mpasuko ndani ya ccm maana wanaona kama ukombozi unakaribia
Hawana namna, hawana jinsi ya kuzitekeleza ajenda zao hizo. Zitabakia kwenye makaratasi na simu zaomkuu umewaza kitoto sana, wale ni watu wazima wameamua kucheza mind game kuwapoteza watu ili waendelee kusuka mipango yao kimya kimya, kwa sasa ccm haitakiwi kuwaamini hawa watu maana wana ajenda zao.
BINAFSI BADO NAJIHOJI,,,,,,,,,,,,WALA SITAKI KUAMINI KAMA AMEOMBA MSAMAHA.Walidhani wanaweza kutumia wingi wao kila idara na bungeni kutingisha gogo. Lkn wamekumbana na kisiki cha Zanzibar kikiwa kinalindwa na katiba ya nchi na chama. Wanaanzia wapi kuukata mpingo?
Aliyepewa jukumu la kukitikisa kisiki kapima kina cha maji halafu mwenyewe kaona isiwe taabu. Kwani kuomba msamaha shiling ngapi bwana??! Kajitokeza mwenyewe kuomba poo!
Huu wala siyo uchochezi. Lilikuwa battle la kweli kweli. Si mlimsikia yule mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali akiliongelea? Ilikuwa siyo mchezo.
Sasa mipango, ndoto na matumaini ya lile kundi kuirudia neema na kutamba kama mwanzo ndiyo yamekufa kabisa. Hakuna tena pa kuanzia.
Poleni sana wazee wa legacy.
Ila ujumbe wenu si mmeupata?Sukuma gang hoooi!
Nimekosa mimi, nimekosa mimi, ninekosa sana...[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa akili hizi alafu ccm itoke madarakani?
Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana.Ila ujumbe wenu si mmeupata?