Msamaha wa Spika Ndugai kwa Rais Samia ni kifo cha mende kwa lile kundi

Msamaha wa Spika Ndugai kwa Rais Samia ni kifo cha mende kwa lile kundi

mleta mada ,inaonekana ni mzanzbar,na Kama ni mtz basi bado ni mchanga Sana kwenye siasa za hapa Tanzania,unaijua vizuri ccm!!?,muulize lowasa,sumaye ,dr.slaa,au waulize bavicha lowasa aliwafanya nn!!... Wajuvi wa Mambo wanajua nn kinaendelea na misheni ikoje ndani ya ccm. Huwa nawaambia siasa za ccm ,hata bavicha hawazijui ,pamoja na ufundi wao wa kupiga maneno!!
 
Walidhani wanaweza kutumia wingi wao kila idara na bungeni kutingisha gogo. Lkn wamekumbana na kisiki cha Zanzibar kikiwa kinalindwa na katiba ya nchi na chama. Wanaanzia wapi kuukata mpingo?

Aliyepewa jukumu la kukitikisa kisiki kapima kina cha maji halafu mwenyewe kaona isiwe taabu. Kwani kuomba msamaha shiling ngapi bwana??! Kajitokeza mwenyewe kuomba poo!

Huu wala siyo uchochezi. Lilikuwa battle la kweli kweli. Si mlimsikia yule mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali akiliongelea? Ilikuwa siyo mchezo.

Sasa mipango, ndoto na matumaini ya lile kundi kuirudia neema na kutamba kama mwanzo ndiyo yamekufa kabisa. Hakuna tena pa kuanzia.

Poleni sana wazee wa legacy.
Mama Ndungai amezingua na wewe mzingue. Usicheke na watu kama wakina Ndungai kwani ni wanafki sana. Kuna wakina Ndungai wengi sana sasahivi wapo mimacho kodo wanasikilizia uta handle vipi hii issue. Waonyeshe wewe si wamchezomchezo otherwise watakufanya wewe bibi
 
Walidhani wanaweza kutumia wingi wao kila idara na bungeni kutingisha gogo. Lkn wamekumbana na kisiki cha Zanzibar kikiwa kinalindwa na katiba ya nchi na chama. Wanaanzia wapi kuukata mpingo?

Aliyepewa jukumu la kukitikisa kisiki kapima kina cha maji halafu mwenyewe kaona isiwe taabu. Kwani kuomba msamaha shiling ngapi bwana??! Kajitokeza mwenyewe kuomba poo!

Huu wala siyo uchochezi. Lilikuwa battle la kweli kweli. Si mlimsikia yule mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali akiliongelea? Ilikuwa siyo mchezo.

Sasa mipango, ndoto na matumaini ya lile kundi kuirudia neema na kutamba kama mwanzo ndiyo yamekufa kabisa. Hakuna tena pa kuanzia.

Poleni sana wazee wa legacy.
Saizi wamebaki kuroga na kuombea kifo,Mungu atamlinda Mama.
 
Ni mpuuzintu anawezakubaliana na yanayoendelea.
Viongozi hovyo namna hizi wanatakiwa wajiuzulu nyadhifa zao na ndio demokrasia inakua.
Angalia mataifa yaliyokomaa wanajiuzulu mara moja haijalishi uko nafasi gani.
Sio suala rahisi kujiuzulu kama ulivyoandika na unavyoamini.
 
Mna mihemko ya kitoto hata hamjui mnachoshangilia, hao wote bado ni CCM na siku zote wataendelea kulinda maslahi yao.

Wewe usije kurupuka kuikosoa serikali ukadhani ndio utasikilizwa, nawe utaonekana mpiga kelele tu, akili ndogo hata hujui madhara ya unachoshangilia.

Tunaposhindwa kuuona ukweli huu:

1. Minyukano ndani ya CCM haitusaidii kwenye madai yetu ya katiba mpya.
2. Mwendazake hayupo tena, makando kando yake tuhangaike nayo kwenye "haki na maridhiano" baada ya katiba mpya.
3. Agenda zetu ni za kudumu si marafiki.


Tunaifanya safari kuwa ndefu zaidi.
 
Stage managed,cooked....and bla bla but who cares!!!
 
Kuna kundi lilidhani system haiko na mama, linakosea. Baada ya huyu muungwana kuongea 26 Dec siku iliyofuata mtu akapewa ki-note akaongee Clouds Power Breakfast, jana wametumwa zoom meeting, leo yeye mwenyewe kaambiwa aombe msamaha.
 
Sasa inabidi naye apelekwe mbele ya Kamati ya Maadili ya Bunge kuhojiwa kisha aende kwenye Halmashauri Kuu ya Chama awekwe kati. Kosa hili ni sawa tu na yale ya akina Gwajima. Tusiwe na double standard kwenye maamuzi kwenye chama chetu
 
Walidhani wanaweza kutumia wingi wao kila idara na bungeni kutingisha gogo. Lkn wamekumbana na kisiki cha Zanzibar kikiwa kinalindwa na katiba ya nchi na chama. Wanaanzia wapi kuukata mpingo?

Aliyepewa jukumu la kukitikisa kisiki kapima kina cha maji halafu mwenyewe kaona isiwe taabu. Kwani kuomba msamaha shiling ngapi bwana??! Kajitokeza mwenyewe kuomba poo!

Huu wala siyo uchochezi. Lilikuwa battle la kweli kweli. Si mlimsikia yule mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali akiliongelea? Ilikuwa siyo mchezo.

Sasa mipango, ndoto na matumaini ya lile kundi kuirudia neema na kutamba kama mwanzo ndiyo yamekufa kabisa. Hakuna tena pa kuanzia.

Poleni sana wazee wa legacy.

Nimejikuta na mkumbuka marehemu bi Kidude- rip na ule wimbo wake maarufu wa amada umelewa.
 
CCM ni watu wanaounganishwa na chama chenye uzoefu mkubwa sana wa siasa. Wanajua namna ya kukaa pamoja baada ya kuwa na mpasuko.

Ni sawa na akili za fisi kutegemea siku moja utokee mpasuko mkubwa ndani ya chama. Sio kama TLP au NCCR, kile ni chama chenye misingi imara sana.

..nidhamu ya ccm inatokana mwenyekiti kuwa amiri jeshi mkuu, na kuweza kutumia mamlaka yake kuwadhibiti wanaotofautiana naye.

..kwa hiyo nidhamu ndani ya chama inapanda au kushuka kulingana na kiwango cha utayari wa mwenyekiti kutumia dola kudhibiti wanachama.
 
..nidhamu ya ccm inatokana mwenyekiti kuwa amiri jeshi mkuu, na kuweza kutumia mamlaka yake kuwadhibiti wanaotofautiana Nate.

..kwa hiyo nidhamu ndani ya chama inapanda au kushuka kulingana na kiwango cha utayari wa mwenyekiti kutumia dola kudhibiti wanachama.
Wanayo rejea ya uongozi wa Mwalimu Nyerere. Viongozi wanaoibuka wanajikuta wakiwa na viwango vya kufikia kimaadili na hata kibusara na hekima.
 
Back
Top Bottom