Msanii Ali Kiba azindua Redio yake, inaitwa Crown FM

Staa wa muziki wa Bongo Fleva @officialalikiba amezindua radio yake mpya inayoitwa CROWN FM ambayo inapatikana 92.1 Fm
Utasikia wabongo wanavyochanganya madesa wengine watasema crown wakimaanisha clouds na wengine watasema clouds wakimaanisha crown na wengine wataandika clown huku wengine wakiandika crowds
 
Kuna redio mkoani inaitwa Kings Fm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…