Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Dah huyo maza ni mjingaKuna shost ile tumemaliza form four tu alimpata kaka mmoja yuko serious kwa ndoa. Kaka alishajenga ghorofa, harusi kubwa na mama mkwe alikuja kutoka Malampanda.
Baada ya harusi mama mkwe aligoma kurudi kwake. Maisha ndipo yaliponona hapo.
Nime prove u zero brain wa kibaIla Kiba naye anakosea! Huwezi kuishi na familia kubwa hivyo wakati umeoa. Choko choko zitakuwa nyingi tu. Kingine ndugu wasichojua huwa wanataka wawejuu ya mke. Wakati mke ni kwake yeye ndiye mama mwenye nyumba watazinguana tu.
Kama anampunga angefanya kama mkewe alivyomshauri angewapa mitaji wakachakarike na maisha huko.
Kukaa na ndugu sawa ila siyo kukaa na kikosi.
Hahahaha nimecheka sanaHivi Amina alienjoy mdinyo kweli? Maana raha ya mdinyo any time anywhere mnabanjuana sasa hiyo nyumba jamani mara zabibu, mara mama mkwe mara abdu mara kings artist mara watoto maskini bint wa watu hata hajafaidi, bora alivyojiondokea atapata mume atakayefaidi.
Mimi nilikaa ukweni mwezi tu kila siku nlitafuta sababu turudi kwetu maana ukianza kupika ndo mkwe weee kama mbuzi mbuzi mzima unahangaika nae, mpaka mda wa kuhudumia mume usiku kiuno kimeganda.
Na kudinyana kwenyewe inabidi mwanaume akuzibe mdomo kelele za mautamu wasisikie wakwe, ikitokea mume katoka mihangaiko labda kajibandikia chai unaona kabisa hao ndugu wanamind na kuweka kikao cha dharura.
Kuolewa familia ya kimaskini na waswahili waliojazana ndani ni UTUMWA.
Hili linasumbua familia nyingi sana, ndugu wanataka kuishi wanataka kwako yaan hata ile amani mkeo anakosaNdio tatizo la ndoa za kishwahili mnapishana na ndugu kwenye korido Kama nzi. Afrika kuchomoka bado Sana unaweza kuishi na ndugu zaidi ya watano nyumba moja,Dada wa kazi anafanya kazi ya kupika kuanzia asubuhi Hadi usiku utadhan ni mpisha wa hotel.mnapika chakula kingi Hadi kinakosa ladha .
Huwezi kuishi nyumba moja na ndugu wote hayo ni mambo ya zamani. Ndugu wenyewe wana uwezo wa kujitegemea. Hili suala la kuamini ushirikina waislam hamjambo. Nilikuwa na demu wa kiislam anapenda sana kuongelea masuala ya kwenda Kwa wataalam. Mpaka nilikuwa naogopa jinsi anavyoamini masuala ya uchawi. Kiutaratibu alikiba hakutakiwa kuishi nyumba moja na ndugu zake. Inatakiwa ndugu wa mke na mume wajitegemeeWasalaam wajamvi!
Msanii Alikiba a.k.a King Kiba amempa talaka tatu mkewe Amina raia wa kenya baada ya kushindwa kupata muafaka juu ya ugomvi wao na ndugu wa Alikiba na Mama wa Alikiba.
Ndoa ya King Kiba ilianza kuingia dosari baada ya Amina kutaka ndugu wa Alikiba wakajitafutie maisha yao na wajitegemee jambo ambalo lilizua taharuki na ugomvi mkubwa baini ya ndugu wa Alikiba na Amina..
Amina alidai ni vigumu kuishi na watu wengi vile ndani ya nyumba moja hata kama ni ghorofa na bado kuwe na amani...hivyo alimshauri alikiba awape mitaji wakajitegemee au awapangie nyumba nyingine.....
Hili jambo liliendeleza mgogoro mkubwa hadi Mama Alikiba kiingilia kati na kutaka Alikiba amuache Amina na akadai apendi hata watoto wa Alikiba kuwa pale....
Wakati hayo yakiendelea kutafutiwa uvumbuzi mtoto wa Alikiba aliugua na kupatwa ugonjwa ulio sababisha awe ana anguka kila muda.....hili lilichochea moto kwani ndugu na Mama Alikiba waliamua kufunga safari hadi kwa fundi ndipo alipotoa tv [emoji342] na kuwaonesha chanzo cha ugonjwa wa mtoto ikidawa amelogwa na Amina mke wa King [emoji146] kiba.
Hivyo basi Mama na ndugu baada ya kutoka kwa fundi walirudi na kumchana live Amina kuwa anataka kumuua mtoto wa King Kiba hivyo lazima aondoke jambo ambalo lilizua ugomvi mkubwa huku Amina akilia kama mtoto na kuwambie hawezi na hana tabia hizo labda kama wanataka aachane na ndugu yao lakini wasimsingizie....
Ugomvi ulikuwa mkubwa sana kupelekea Amina kubeba mwanae na kurudi kwao mombasa huku akitaka kupewa talaka maana ndoa imemshinda!
Mnamo mwezi wa nane mwisho King Kiba alimpa talaka Amina ili aendelee na maisha yake uku wakishirikiana kulea mtoto.
Wasalaaam
For sure, ndoa hata mwaka bado then ndugu wanataka kuja hapo hapoNdoa nzuri mkioana mkae hata mwaka wenyewe mfurahie ndoa mfinyane wenyewe lakini duu ndoa zetu unatoka kwenu unasema ngoja nikale tunda la ndoa uwiiii unatumbukia kwenye kundi la watu 12, wakati mwingine sio uchoyo Bali nikupeana nafasi tu
Waambie bana...Wanazani ndoa ni kama kuimba AJE AJE
ndoa ni changamoto
Nadhani Mkuu utakuwa umekengeuka kidogo comment kwenye uzi uliotolewa but sio kwa kutusi dini nyingine sidhani kama inaleta afyaHuwezi kuishi nyumba moja na ndugu wote hayo ni mambo ya zamani. Ndugu wenyewe wana uwezo wa kujitegemea. Hili suala la kuamini ushirikina waislam hamjambo. Nilikuwa na demu wa kiislam anapenda sana kuongelea masuala ya kwenda Kwa wataalam. Mpaka nilikuwa naogopa jinsi anavyoamini masuala ya uchawi. Kiutaratibu alikiba hakutakiwa kuishi nyumba moja na ndugu zake. Inatakiwa ndugu wa mke na mume wajitegemee
Namsikitika! Kukaa nyumba iliyojaa ndugu, wote wakimtegemea mumewe ni shughuli!This is sad,pole Amina..uwe haupendani na ndugu za mumeo na mumeo anawa support ndugu zake..hio atmosphere ni ngumu...bora ukapumue mwaya!!
[emoji16]yoooooooh
Jinsia ya mleta mada ?
Tafadhali
Inahitaji kipaji cha hali ya juu.Hivi Amina alienjoy mdinyo kweli? Maana raha ya mdinyo any time anywhere mnabanjuana sasa hiyo nyumba jamani mara zabibu, mara mama mkwe mara abdu mara kings artist mara watoto maskini bint wa watu hata hajafaidi, bora alivyojiondokea atapata mume atakayefaidi.
Mimi nilikaa ukweni mwezi tu kila siku nlitafuta sababu turudi kwetu maana ukianza kupika ndo mkwe weee kama mbuzi mbuzi mzima unahangaika nae, mpaka mda wa kuhudumia mume usiku kiuno kimeganda.
Na kudinyana kwenyewe inabidi mwanaume akuzibe mdomo kelele za mautamu wasisikie wakwe, ikitokea mume katoka mihangaiko labda kajibandikia chai unaona kabisa hao ndugu wanamind na kuweka kikao cha dharura.
Kuolewa familia ya kimaskini na waswahili waliojazana ndani ni UTUMWA.
Na abdukiba naye mkewe kakimbia. Shida itakua hiyo familia tu.
Kama sio binti basi ana zile tabia za kina naniliuJinsia ya mleta mada ?
Tafadhali
Sure this is sad.This is sad,pole Amina..uwe haupendani na ndugu za mumeo na mumeo anawa support ndugu zake..hio atmosphere ni ngumu...bora ukapumue mwaya!!
Mama haishi Tabata ila ila Tabata iko mkononi mwake hata sindano ikidondoka kajua na kafika