Tetesi: Msanii Alikiba ampa talaka tatu mkewe chanzo kikiwa ni ndugu na kurogana

Kuna shost ile tumemaliza form four tu alimpata kaka mmoja yuko serious kwa ndoa. Kaka alishajenga ghorofa, harusi kubwa na mama mkwe alikuja kutoka Malampanda.

Baada ya harusi mama mkwe aligoma kurudi kwake. Maisha ndipo yaliponona hapo.
Dah huyo maza ni mjinga
 
Nime prove u zero brain wa kiba
 
Hahahaha nimecheka sana
 
Hili linasumbua familia nyingi sana, ndugu wanataka kuishi wanataka kwako yaan hata ile amani mkeo anakosa
Watu wakiwa wengi tatizo lazima liwepo
 
Huwezi kuishi nyumba moja na ndugu wote hayo ni mambo ya zamani. Ndugu wenyewe wana uwezo wa kujitegemea. Hili suala la kuamini ushirikina waislam hamjambo. Nilikuwa na demu wa kiislam anapenda sana kuongelea masuala ya kwenda Kwa wataalam. Mpaka nilikuwa naogopa jinsi anavyoamini masuala ya uchawi. Kiutaratibu alikiba hakutakiwa kuishi nyumba moja na ndugu zake. Inatakiwa ndugu wa mke na mume wajitegemee
 
Ndoa nzuri mkioana mkae hata mwaka wenyewe mfurahie ndoa mfinyane wenyewe lakini duu ndoa zetu unatoka kwenu unasema ngoja nikale tunda la ndoa uwiiii unatumbukia kwenye kundi la watu 12, wakati mwingine sio uchoyo Bali nikupeana nafasi tu
For sure, ndoa hata mwaka bado then ndugu wanataka kuja hapo hapo
 
Nadhani Mkuu utakuwa umekengeuka kidogo comment kwenye uzi uliotolewa but sio kwa kutusi dini nyingine sidhani kama inaleta afya
 
This is sad,pole Amina..uwe haupendani na ndugu za mumeo na mumeo anawa support ndugu zake..hio atmosphere ni ngumu...bora ukapumue mwaya!!
Namsikitika! Kukaa nyumba iliyojaa ndugu, wote wakimtegemea mumewe ni shughuli!
 
Kama ni kweli,Salama yake! Ashukuru maana hao siwaamini sana
 
Inahitaji kipaji cha hali ya juu.
 
This is sad,pole Amina..uwe haupendani na ndugu za mumeo na mumeo anawa support ndugu zake..hio atmosphere ni ngumu...bora ukapumue mwaya!!
Sure this is sad.
Napenda ndugu zangu lakin napenda zaid kuishi peke yangu na wanangu pamoja na mama yao.Wengine waje waslimie na kuondoka nitawasaidia huko huko waliko.
Ni changamoto kuishi na kundi ndani hata privacy mnakosa
 
Nakumbuka, Mama Salma Kikwete, wakati wa sherehe za harusi ya Alilkiba na Amina aliwauliza Wanawake waliohudhuria sherehe hiyo :
Wenzangu wanawake mliohudhuria sherehe hii wangapi mnapenda kuolewa mitara? Naomba mnyoshe Vidole.
Hapakuwa na jibu.

Hata hivyo alitoa nasaha nzuri sana kwa kumtaka Amina kuwa mvumilivu ndani ya Ndoa na kutofuatilia mambo ya mmewe na hasa kupitia kwenye simu ya mkononi.
Kubwa ni kwamba Wasichana wa kileo, wasomi na wajuzi wa mambo, kuolewa mitara na kudumu kwenye ndoa ni jambo gumu sana.
Hii ni kwa sababu wanaiga maisha ya kizungu zaidi kuliko ya Kiafrika au Kiarabu
Desturi za kuoa mke zaidi ya moja si za Kidini zaidi ila ni za Kiafrika na Kiarabu.
Desturi hizi sina masharti yake magumu nayo ni.
1. Nila lazima mwanaume awe na uwezo wa kuwatunza wake zake.
2. Mke mkubwa ni lazima aridhie mme wake kuoa mke mwingine na ashirikishwe katika kuchagua mke wa kuoa.
Ndoa za namna hii zinadumu kwa wanawake ambao elimu yao ni ya chini sana, hawachanganyiki kabisa na watu wengine na kutoka nyumbani huwa ni mara chache na hawaruhusiwi kutembea peke yao.
Pengine Ndoa za namna hii zitakoma jinsi ustaarabu unavyozidi kukua kwa wanaume kushindwa kuoa zaidi ya mke moja kutokana na wanawake kutaka elimu nzuri na watoto wote kusomeshwa hadi vyoo hadi vikuu.
Yote ni kheri tu kwa kuoa mke moja au wake wengi au kutokuoa kabisa, kubwa kuliko yote ni kuishi kwa upendo na amani.
 
Tabata mitaa gani hiyo mana kuna kipindi nlikaa dar kama wiki 2 mitaa ya sanene,nlikua namuona hapo kwetu pazuri
Mama haishi Tabata ila ila Tabata iko mkononi mwake hata sindano ikidondoka kajua na kafika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…