Kuna sehemu umeandika uliwahi kuishi nao jaribu kuwatafuta waliowaoa mi kiukweli Sina muda wa kukusimulia matukio yaoMatukio gani hayo ambayo wanapigwa wao peke yao ???
Tembea uone, mbona wako wengi tu waliooa nje ya nchi na ndoa zimedumu miaka zaidi ya 30.Hehehehe waliozingatia muonekano badala ya tabia mfano ni AY mwenyewe Kiko wapi Sasaππ
Hayo matukio hayapo, ni simulizi tu kama simulizi nyingine za kuwasema wanawake wa kichagga...Kuna sehemu umeandika uliwahi kuishi nao jaribu kuwatafuta waliowaoa mi kiukweli Sina muda wa kukusimulia matukio yao
Licha ya uzuri ila hawajui mahaba na ni wavivuKuna sehemu umeandika uliwahi kuishi nao jaribu kuwatafuta waliowaoa mi kiukweli Sina muda wa kukusimulia matukio yao
Mkuu oa umtakaye ikipigwa tukio we na ukoo wako ndo una hasara,Tembea uone, mbona wako wengi tu waliooa nje ya nchi na ndoa zimedumu miaka zaidi ya 30.
Wanapenda kuabudiwa/kulambwa Sana Sasa hizo mambo mpk Kwa bed wanazipelekaLicha ya uzuri ila hawajui mahaba na ni wavivu
Ova
Nilishaoa ninayemtaka na ndiyo maana miaka 10+, and we still rollin......Mkuu oa umtakaye ikipigwa tukio we na ukoo wako ndo una hasara,
Sijapangia mtu tafadhali usinijaze tuhuma za uongo,,, waoeni nyie ndo mtakula hasaraπππNilishaoa ninayemtaka na ndiyo maana miaka 10+, and we still rollin......
Nawashauri vijana waendelee kuoa wanaowapenda.....
Msiwapangie maisha...
Kamata juice hapo nalipa MalcomHayo matukio hayapo, ni simulizi tu kama simulizi nyingine za kuwasema wanawake wa kichagga...
Bwahahaha, wachagga mnawaponda lakini ndiyo wanaongoza kuolewa kila siku...
HehehehLicha ya uzuri ila hawajui mahaba na ni wavivu
Ova
Kwa kweli mi bado sijawai kubabaika na race tofauti na ya Tanzania πππ mi huwaga hata hao wakina Kim Kardash siwaoni uzuri wao kabisa!!!! Napenda wanawake w Tanzania yaani wamachangamka hata kama ni maskini tofauti na wengine ....kama dsm hapa wanawake wajanja mpaka mzukaWakikwambia uoe Somalia utakataa ???
afu demu wa stamina naye ni mnyarwanda kiasili kabisa sema amekulia bongo.Stamina nae chali
Ni vizuri kuoa mtu ambaye unavutiwa naye......Kwa kweli mi bado sijawai kubabaika na race tofauti na ya Tanzania πππ mi huwaga hata hao wakina Kim Kardash siwaoni uzuri wao kabisa!!!! Napenda wanawake w Tanzania yaani wamachangamka hata kama ni maskini tofauti na wengine ....kama dsm hapa wanawake wajanja mpaka mzuka
Naam, naaam! Nimeshaagiza Prishaz....Kamata juice hapo nalipa Malcom
Bwahahaha, dua la kuku huwa halimkuti mwewe......Sijapangia mtu tafadhali usinijaze tuhuma za uongo,,, waoeni nyie ndo mtakula hasaraπππ
Ndio mbakie nyumbani
Pis za nyumban sasa ndo mnazidishaWashaachana walijifanya kwenda kuoa nje ya Tanzania wote wameachika rudin nyumbani kumenoga
Kweli nmekaa nao haoHeheheh