SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
Hawa wamatumbi wenzetu wa hapa bongo hawajiuzi?Wasichana wa kawaida sana hao wazur wapo kila kona watutsi wako overrated sana maana hawajiheshimu ni watu wa maonyesho nenda Ethiopia kaone wanavyojitanda utajua wapi wazuri...hao uliotaja ni wale wa Kick za kimtandao na Wana mtandao mrefu kweny sex tourism kwanza kujiheshimu tu balaa Kun page inaitwa Kigali news utaona wanajiuza
Unajuaje? Labda kaka yetu ndio ameachwa!Ndio kaachwa sasa na uzuri wake
Tumegoma. Kila mtu ale kwa urefu wa kamba.Ndio mbakie nyumbani
Mko na double standards sana.Sikiliza Malcom tushasema hivi muoe nyumbani mnakimbilia pua ndefu dada zenu wenye pua pana nani ataoa
Na hao wenye pua ndefu hawawapendii
Wapo kibao ila 80% wanaolewa na kuachwaHawa wamatumbi wenzetu wa hapa bongo hawajiuzi?
Nani aoe vibwengo hawa WA kibongoPis za nyumban sasa ndo mnazidisha
Vibur mkiona hiv
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Brother, ndoa zinavunjika kila mahala duniani. Watu wanaachana iwe Tanzania, au Somalia. It rains everywhere!Wapo kibao ila 80% wanaolewa na kuachwa
TunawarogaTumegoma. Kila mtu ale kwa urefu wa kamba.
Mimi mwenyewe siku kamba yangu ikifika hapo kwa kagame ndio basi tena mshanikosa!
Sikupinga ila Kuna mitigation factors angalau ifike miaka mingi...huyo mwanamke na yule ya Ali kiba wote ni wajuaji na wazee wa kuruka viwanjaBrother, ndoa zinavunjika kila mahala duniani. Watu wanaachana iwe Tanzania, au Somalia. It rains everywhere!
Hoja yetu sisi, ni kwamba mtu aoe mwanamke anaempenda. Awe mnyarwanda, awe mmatumbi au mzanaki. Kula kitu roho inapenda!
Tamu kivipi?kuna tofauti yeyote na za kibongo.Za kinyaru ni tamu, tatizo hawajui kuwahandle km sie tunavyowanyenyekea mbali na kupigwa matukio
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tunawaroga
πππππ tuanze mazungumzo sasa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Tusifikie huko, hili suala linazungumzika!
Brother, ndoa zinavunjika kila mahala duniani. Watu wanaachana iwe Tanzania, au Somalia. It rains everywhere!
Hoja yetu sisi, ni kwamba mtu aoe mwanamke anaempenda. Awe mnyarwanda, awe mmatumbi au mzanaki. Kula kitu roho inapenda!
HahahahaKabisa tusipangiane na watu wanapotosha sana ili ionekane wanawake wa bongo wanadumu kwenye ndoa kumbe sio kweli
Ngoja nije PM, si hautaki niende Rwanda.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuanze mazungumzo sasa
Tunaanzia wapi?
Duh!..Watu hao wamedumu kwenye uchumba kwa muda wa miaka kumi sasa.
πππ unataka kuoa ?Ngoja nije PM, si hautaki niende Rwanda.
Ukinipiga kibuti nahamia Burundi mazima!
Kumbee mam ake Ni mtutsi bhna vzr ila wandewa wanasema ameshapokea za uso ila uzuri yule jama hakututambia huku mtandaoni alijikausha ndio maan hat ishu yake haijafahamikaHahahah, wanawake wa kitutsi wazuri bwanaa. Hebu mwangalie K-LYN. Hivi unadhani kwanini Mzee wetu Mengi aliwaacha wakina Madam Rita akamuoa Jackie ???
Watu wameanza kumponda AY kwamba kwanini kaoa Rwanda, ilhali wamesahau kwamba mama yake AY naye ni Tutsi. Wana nongwa kweliiii.....
Kama hao watutsi Ni wadangaji bas Sina hamu nao tubaki na wakwetu huku tuMadam Ritha ni wale wale Ila ritha mrembo zaidi kuliko klyn