TANZIA Msanii Costa Titch afariki dunia baada ya kudondoka stejini

Au overdose ya molly mdau??????Maana mwana alikua anatumia vile vitu.Sababu madogo sauzi umarekani mwingi sana.
 
Uli muuzia??, Au ndo kujifanya una mjua marehemu Sana.
👉Usha ambiwa sababu hazijajulikana, ila umeanza conspiracy zako. Zisizo na kichwa Wala mguu🤔🤔
Kuuliza muhimu mdau,maana hata AKA niliuliza ile hit imetokana na kifo cha aliyekua mchumba wake au gang,s war?????Kuuliza muhimu sababu vitu hivi vina julikana kwa wasanii wa bondeni mdau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…