Msanii Country Boy Rasmi Ameachana Na Recording Label Ya Kondegang

Bado

Baby.

Hizi ngoma kazitoa akiwa konde gang na ni kali sana pia.
 
Jamaa anaenda kondegang mpaka anatoka mi sijui

Au aliingia jana na kutoka jana hiyo hiyo nini?
 
Chawa wa madale nategemea wawe wengi hapa kumwaga pumba.
 
CHEED na KILLY acha Dunia iwafunze...MKATAA PEMA.........
 
Akili tyu kqkq#
alijalib bahaty kam kuna maslah lakn kaon hamn kajitoa kwan sin🙄
 
CHEED na KILLY acha Dunia iwafunze...MKATAA PEMA.........
Walivyokua kwa kiba walifanya ngoma kali zilizowatambulisha vizuri kama masozy, rhumba, toto.. lakini toka wameenda kwa konde mjeshi ngoma zao haziendi.
 
Bangi hazijawahi kumuacha mtu salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…