Kodi ya 30k- 50k kwa mwezi, ndy haswa kundi linalopaswa kusaidiwa maana ndy walala hoi haswa, hao ndy hulala chumba kimoja na watoto wao.Huu ninahisi utakuwa msaada mdogo kati ya misaada aliyowahi kutoa ukikokotoa hapo atakaowalipia kod utakuta ni walevyumba vyao vina range 30000 mpaka 50000 kwa mwezi which means kwa mieiz mitatu ni kama lak unusu sa kwa familia 500 itakuwa kama milion 70.
Ninavyojua ashawahi kutoa misaada ya pesa nyiingi zaidi ya hili kipindi kile kwao tandale alipotoa hata pikipiki na mitaji
Hizi chuki zitakuja kuwatoa roho Jamani, anaishi nyumba ya kupanga sawa, lkn si analipa Kodi Tena pengine kwa mwezi ni zaidi ya Milioni na nusu. Kingine jamaa ana nyumba tayari nzr tu na pengine hana nyumba moja tu.Ametelekeza watoto wake , angeenza kwa kusaidia wanae ningemuona wa maana
Yeye mwenyewe anaishi nyumba ya kupanga hii kiki hakuna atakaesaidiwa hapo
Mkuu achana na Kodi ya 45,000, Kuna familia zinaamka hazijui siku hy watakula Nini, familia hiyo ukiipatia elfu tano tu zitakuona muokozi mkubwa, Sasa embu niambie familia Kama hizi zitajiskiaje zitakapopata uhakika wa kuepukana na gubu la baba mwenye nyumba kwa miezi mitatu?Kama mtu haujui kodi za uswahilini uneweza kufikiri jamaa atatoa bilioni na ushee kumbe kodi ya miezi mitatu uswahili ni kati ya sh 45,000 hadi 60,000/= maana kodi ya chumba uswazi ni elfu 15 hadi elfu 20 kwahiyo kwa familia 500 atatumia kati ya milioni 22 hadi 30 π π π π π.
Hahaha kama yupo serious aende kuwalipia watu wa masaki/obay waliopanga appartment za usd 3000 kwa mwezi ambapo kwa miezi mitatu ni usd 9000 kisha azidishe familia 500 na exchange rate ya 2300Hiyo pesa Diamond hana na hata huyo Alikiba hiyo hana. Ni mbwembwe tu. Hawana maisha mazuri. Mi nilichoka nilipoambiwa Jay Dee ni bonge la tajiri afu kumbe ni fala tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunawasanua mambumbu ambao hawaelewei kodi za nyumba maana hawakawii kuanza kusema DOMO katoa bilioni 5 kwa familia 500 kuwalipia kodi.Mkuu achana na Kodi ya 45,000, Kuna familia zinaamka hazijui siku hy watakula Nini, familia hiyo ukiipatia elfu tano tu zitakuona muokozi mkubwa, Sasa embu niambie familia Kama hizi zitajiskiaje zitakapopata uhakika wa kuepukana na gubu la baba mwenye nyumba kwa miezi mitatu?
Ili ujue thamani ya kulipiwa Kodi, ilhali hukuwa una uhakika wa kuipata hiyo pesa any time sooner, lazima uwe umeshawahi kuwa mpangaji na adha za wenye nyumba unazijua, kipato chako si cha uhakika. Tatizo humu wanaojadili ni watoto wanaolipiwa hostel na HESLB au wanaolala kwenye nyumba za wazazi wao kama siyo sebuleni kwa shemeji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Matusi yanatoka wapi wewe MSUKULE wa DOMO? Mwanamme mzima na MAMBUPU unanunuliwa TECNO WEREVA na DOMO kuja kumtetea ,acha ujinga nenda KALIME nje ya mji.Pumbavu kalipie na wewe hata kaya tatu tuone..hata kama kijana atalipa jumala ya laki moja kwa kaya zote..bado atakuwa kajitahidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
UONGO embu tazama Wasafi tv sasa hivi utafikiri ni Tv ya Nabii Malisa.Hizo familia lazima zote za Kiislam. Maana Wasafi wana udini utafikiri wamezaliwa Yemen.
Wasafi tv anashare na Jo Kusaga.UONGO embu tazama Wasafi tv sasa hivi utafikiri ni Tv ya Nabii Malisa.
Yani Mboso na Rayvanny wamiliki V8 Diamond ashindwe kumiliki?We huna akili? Show ngapi? Unajua analipwaje kwenye hayo matangazo? Sio kwamba hana pesa ila hana pesa kama akili yako inavyotaka kuamini.
KWA TAARIFA YAKO HUYO DIAMOND HADI LEO ANAMILIKI GARI MOJA ILE BMW X6 tangia 2014. Hizo zingine mbwembwe tu. WASAFI MEDIA SIO KAMA UDHANIAVYO KUWA KAMPUNI KUBWA. HATA HIVYO YY SIO MMILIKI KWA ANGALAU 50% ana vishare kidogo. Kapewa UDIRECTOR yy na MAMA yake tu. Hata ile v8 ni ya KAMPUNI SI YAKE BINAFSI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amini usiamini Diamond hasaidii wala kutambua michango ya watu kwa mujibu wa imani zao.Wasafi tv anashare na Jo Kusaga.
Hahaha kama yupo serious aende kuwalipia watu wa masaki/obay waliopanga appartment za usd 3000 kwa mwezi ambapo kwa miezi mitatu ni usd 9000 kisha azidishe familia 500 na exchange rate ya 2300
AMount = 9000 x 500 x 2300 = 10,350,000,000 Tsh
Ebu lete clip inayoonyesha yupo msikitini na makamera full waandishi wa habariWaandishi walio wafuata na makamera habari walipewa na nani au walioteshwa.
Kwa hiyo kuwalipia kodi masikini hayupo serious?Hahaha kama yupo serious aende kuwalipia watu wa masaki/obay waliopanga appartment za usd 3000 kwa mwezi ambapo kwa miezi mitatu ni usd 9000 kisha azidishe familia 500 na exchange rate ya 2300
AMount = 9000 x 500 x 2300 = 10,350,000,000 Tsh
Huu ndo ukweli watu wasioujua, endelea kuwajulisha hawa Machawa mkuuWe huna akili? Show ngapi? Unajua analipwaje kwenye hayo matangazo? Sio kwamba hana pesa ila hana pesa kama akili yako inavyotaka kuamini.
KWA TAARIFA YAKO HUYO DIAMOND HADI LEO ANAMILIKI GARI MOJA ILE BMW X6 tangia 2014. Hizo zingine mbwembwe tu. WASAFI MEDIA SIO KAMA UDHANIAVYO KUWA KAMPUNI KUBWA. HATA HIVYO YY SIO MMILIKI KWA ANGALAU 50% ana vishare kidogo. Kapewa UDIRECTOR yy na MAMA yake tu. Hata ile v8 ni ya KAMPUNI SI YAKE BINAFSI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanangu Umeamkia kwenye hii mada kuendelea kubisha na kila mtu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo kuwalipia kodi masikini hayupo serious?
Unakaa ktk apartment ya $3000,manake unajiweza,kuna familia kodi tu ya 20000 inashindwa kulipa.
Hata hao masuperstar wa Hollywood waliotoa msaada kipindi hiki ,wanalenga tabaka la chini kabisa.
Umasikini unau_define vipi? hao unaosema ni masikini hata wakati korona haijaipiga dunia walikuwa hivyo hovyo masikini tia maji tia maji pangu pakavu tia mchuzi......Masikini ni wale kabla ya korona walikuwa wanakula good times ila sasa ajira zimekoma,biashara zao zimefungwa hao ndio masikini kwasasa inabidi DOMO awalipie na sio hao wa TANDALE au Manzese wanaoishi kwenye chumba kimoja!!!
Kama wewe unavyo mpinga kila mtu.Mwanangu Umeamkia kwenye hii mada kuendelea kubisha na kila mtu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πππππππKwa hiyo kuwalipia kodi masikini hayupo serious?
Unakaa ktk apartment ya $3000,manake unajiweza,kuna familia kodi tu ya 20000 inashindwa kulipa.
Hata hao masuperstar wa Hollywood waliotoa msaada kipindi hiki ,wanalenga tabaka la chini kabisa.
Umasikini unau_define vipi? hao unaosema ni masikini hata wakati korona haijaipiga dunia walikuwa hivyo hovyo masikini tia maji tia maji pangu pakavu tia mchuzi......Masikini ni wale kabla ya korona walikuwa wanakula good times ila sasa ajira zimekoma,biashara zao zimefungwa hao ndio masikini kwasasa inabidi DOMO awalipie na sio hao wa TANDALE au Manzese wanaoishi kwenye chumba kimoja!!!