Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Acha ShoboMie nakutana sana na mchekeshaji Mkwere ninajenga Kimara (nyumba ya kupangisha) jirani na kwake. Uwa tunapiga sana story . Prof. J pia mshikaji tunaongea nae, Afande Sele mwanangu mno na kuna msanii mmoja wa kike maarufu nilishapita nae kinyumba enzi zangu
Wala sio shobo afterall wote hao nimewazidi sana uwezo wa kifedha na kimadaraka na baadhi yao uwa ninawasaidiaAcha Shobo
Hahahaahaaaaa daaaaah [emoji28]Nlikutana na Cyril Kamikaze kituo cha polisi Rujewa Mbarali nlipoenda kuchukua loss report. Alikuwa amepeleka malalamiko ya kuzurumiwa tsh 25M na mtu aliekuwa anampa hela amlimie mpunga jamaa akatembea na mavuno. Alikuwa analima kwa simu.
Hahahaaaa mi sikua teller nilikua customer service desk japo teller lazma atajua salio especially unapotaka kutoa helaKudadeki tellers mnachungulia sana salio la watu
Ndio maana huwa sipendi kwenda kwa ma tellers aiseeHahahaaaa mi sikua teller nilikua customer service desk japo teller lazma atajua salio especially unapotaka kutoa hela
Huyu ndio nani π€π€JB Mpiana (Mukulu) - Lounge tukisubiri ndege.
Ilea lafudhi ni changamoto sana asee, ila wakiandika tunagrab kama kiswahili mzeee dahbπ€£π€£π€£mm wasanii wa bongo wengi nimeshakutana nao na story za hapa na pale...ila msanii mkubwa wa nje niliyepiga nae story ni chris tucker ni comedian huyu wa usa huko Hollywood..alikuja tz, arusha miaka hiyo 2008 ilikuwa ngorongoro huko ...sema dah akiongea uambulii kitu ile lafudhi ya ndani..
Huyo baba ake ni wa useri kule Rombo jiran na baba angu mkubwa, wanasema alikulia Mashati pale"elizabeth michael" mnamwita lulu ni toto la mamdogo.
Huyo mwamba nakubali sana flow zake za kimnato kama akina lunya, salmin swagg na con boyNi P the Mc, tena alinikuta nasikiliza ngoma yake "mama mjane" dah ilikuwa fresh aisee, jamaa alikuwa happy sana nikamuonesha kwenye pc yangu Kuna ngoma zake karibu zote na wasanii wenzake WA tamaduni.
Sent from my 502SO using JamiiForums mobile app
Mhaya!"elizabeth michael" mnamwita lulu ni toto la mamdogo.
Hii shule iko wapi? π€π€Prof J, alikuja nyumban Songea alikua anazungumza na kaka mkubwa, mie nilikuwepo kwa pembeni. Na nilimsalimia, ikiwa bado hajawa mbunge.
Jux, huyu nilikutan nae Morogoro, GM HOTEL, kuna jambo lilitukutanisha
Foby, huyu ndo namjua in and out, nimecheza nae San, na mchumba ake alikua anaitwa rose, akiwa anasoma Ruhuwiko sec school (shule ya jeshi) ,
Afu Cyril Kamikaze na Mabeste nashindwaga sana kuwatofautisha ππNlikutana na Cyril Kamikaze kituo cha polisi Rujewa Mbarali nlipoenda kuchukua loss report. Alikuwa amepeleka malalamiko ya kuzurumiwa tsh 25M na mtu aliekuwa anampa hela amlimie mpunga jamaa akatembea na mavuno. Alikuwa analima kwa simu.
Bila shaka utakuwa mhaya, unapenda kujibrag bila kuulizwa ππWala sio shobo afterall wote hao nimewazidi sana uwezo wa kifedha na kimadaraka na baadhi yao uwa ninawasaidia
Usicheke ni Davido WA Buza.Davido.
Ndo yupi huyo?Usicheke ni Davido WA Buza.
Mie ni mkimbizi, halafu hiyo ndio tabia yangu yaani napenda sana kujikweza juu ya wasio nacho. Ni kama nawapa motivation thoughBila shaka utakuwa mhaya, unapenda kujibrag bila kuulizwa ππ