TANZIA Msanii Golden Jacob Mbunda(Godzilla) afariki dunia

Duh!
King Zilla.

Anyway, we all doomed to die.

Mimi nilijua kifo kipo baada ya kufiwa na mama yangu late 2018.

Sijawahi kuona maumivu makali namna ile.

Poleni ndugu wa King Zilla.

Dah...i can feel u...pole mno aisee nawazaga kufiwa na mzaz jamani naamini nitachizika mazima mm..nina hofu mno hyo mm...navyompenda baba yangu jaman bora nianze mm tu...hakuna msiba mzito na mgumu kama kufiwa na pacha wako pia aisee!unajiona na ww huna thamani kbs.!argh!Pole sana best..rip mom
 
Ahsante. Asikwambie mtu. Nimekua nikilia kila siku toka mama ameondoka. Nimejitahdi kua mwanaume lakini maumivu yake hayavumiliki.

Msiba usikie kwa jirani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…