East Wind
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 2,783
- 6,058
COVID-9 kama Nimonia ndugu zake wanavyo sema.. itakuwa mule mule tuCOVID-19 hiyo haikawizi Mwenyezi Mungu atuepushe. RIP Bro!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
COVID-9 kama Nimonia ndugu zake wanavyo sema.. itakuwa mule mule tuCOVID-19 hiyo haikawizi Mwenyezi Mungu atuepushe. RIP Bro!
Huku kweli alipita mnooHii ngoma acha kabisa .. humu Ms Trinity ndio alidhihirisha kwamba wasanii wa mbele na bongo level zao Ni tofauti kabisa ... Mwanadada alijua kupita humu ile mbaya
Hv mona bado hajahama pale mpaka leoPia alikuwa nimtu mpole Sana..Yuko very humble Hana majivuno kabisa
Niliwahi kukutana nae kwa monaganster kinondoni manyanya itoshe tu kusema kwamba alikuwa mtu wa Watu
Mistari kibao pumba kibaoUtamjulia wapi wewe mlamba tako la mawe?
Watu mlio-sick na freedoms za watu in such a way mna suppress hadi artistic authenticity ya wasanii?
Utakaa umjulie wapi wewe?
Your own artists who reflects social actions to your population,huwajui,utakaa umjue mzee massawe mwananchi wa kawaida mchomelea masufuria pale Kimara?
You maafakaz are living in your own bubbles and think the world is like what is in your own bubbles!
Fakauraaa hiyaaaa!
Hahahaa, kiba wa kitamboKipindi hicho hao wazee wanatamba mondi anauza mitumba.
Ila Ali kiba alikuwepo
Kipindi hicho hao wazee wanatamba mondi anauza mitumba.
Ila Ali kiba alikuwepo
Duh!Utamjulia wapi wewe mlamba tako la mawe?
Watu mlio-sick na freedoms za watu in such a way mna suppress hadi artistic authenticity ya wasanii?
Utakaa umjulie wapi wewe?
Your own artists who reflects social actions to your population,huwajui,utakaa umjue mzee massawe mwananchi wa kawaida mchomelea masufuria pale Kimara?
You maafakaz are living in your own bubbles and think the world is like what is in your own bubbles!
Fakauraaa hiyaaaa!
Alikuwa anaimba muziki aina gani?
Kwa nini sasa? Point 7 ni mambo ya form 4 huko...halafu kitambo hicho watu waliokuwa wanataka kusoma IT kama cpwaa wengi walikuwa wanaenda IFM au vile vyuo vya wahindi kule posta (e.g Learn IT)... mlimani kulikuwa na uhaba wa walimu wa computerHakuwahi
Alisoma IFM,kuikuta point 7 inasoma IFM kipindi hicho,hua ni point 7 iliyokua na kichaa,sio nzima!
Mbona ameshasema aliugua nimonia.Aliumwa au ajali? Ongeza maelezo kidogo
Nafasi nyingine***Ni msanii wa bongo fleva.. kitambo flani walikuwa na kundi lao linaitwa Park leen ( sina hakika kama nime spell well)
Miongoni mwa nyimbo alizopata kuimba ni kama:
1. Nafasi nyingi
2. C Pwaa
3. Action
Alipata kuwa na sauti matata sana..
Bro,Cpwaa hajawahi pata 1.7 achilia mbali A ya somo lolote!
Kama una evidence weka hapa
Mtoto aliepata 1.7 F4 umkute IFM huyo aliipata kwa bahati mbaya na ubongo wake uli fluke!
Nani amekwambia UDSM kulishawahi kua na uhaba wa Walimu wa Computer?
Nadhani unaota,hujui unachosema unabuni tu,of which ni nonsense!
Kuweni watulivu mnaposoma taarifa, hujaona hapo kwamba nimonia ndiyo iliyochukua uhai wake? Au ulitarajia kusikia zile changamoto nyingine?Aliumwa au ajali? Ongeza maelezo kidogo