Msanii Johari anatafuta mume yeyote aliye tayari

Ray kampotezea muda...... Mungu ni mwema atapata haja ya moyo wake
 
Reactions: SDG
Mkuu wangu, afadhali iwe maji ya moto utachagua uoge ubabuke au ukimbie usalimike. Ujana hubabua hadi roho usipocheza kwa steps za mdananda. Ila mtoto mzuri yule maalim! Jitwalie tuvunje kombe! Hahahahaaa!
Daah mkuu kwa usawa huu nioe yule..hapana aisee
 
Kuna muvi yake moja aliigiza mtoto wa kishua anachagua changua wanaume mwisho akakosa wa kumuoa akawa anamlazimisha hemed ili apate cheo kwa babaake, dah kumbe yamemtokea kweli asee


......lisemwalo lipo kama halipo..... Laja.
 
johari alikua na uzuri gani,shapeless mtindi huo kuna best wangu alijibebea mwanzo mwanzo kabla hajawa maarufu yani niipomuona nae demu mchafuchafu,pamba hana nikaona jamaa kweli kaokota.
 
mimi namtaka ila niwe namfumua kwa nyuma maana kwa mbele kumechuka sana.. Ovaaaaaaaaa
 


Kachemka tu baada ya kuona umri umekwenda. Wanaume wanaona na kuweka kumbukumbu kapuni mpaka siku ya siku ifike wamtolee mapovu. Johari alikuwa bizi kujiuza na aliweka ufuska kama kipaumbele chake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…