Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Kwahio upande ule una pesa mingi sioTatizo hujui usemacho. Waislam wako bize kuwabadilisha misimamo wakristo kila uchao ili kuudhalilisha ukristo.
Akina CR 7 na wengine wengi mmewafanya hivyo.
Itabaki hivo daima, ukristo hautokufa hata mhonge benki ya dunia.
duh!!!..hadi huyo jamaa na yeye kumbe ni punga?.
Siamini nnacho kiona mkuu...Akiwa mdogoView attachment 2514105
Hapana ni mtoto wake ambae amechange jinsiaduh!!!..hadi huyo jamaa na yeye kumbe ni punga?.
Ukweli ni huu, upende usipende; "miungu ni mingi sana ILA Mungu ni mmoja tu."Sema nimegundua hapa duniani huenda kuna miungu zaidi ya mmoja
Unamuongeleaje diogo Jota kama mwana Nato kindakindaki mission accomplished au bado mapambano yanaendelea
Lucifer kampitia kwa sababu aliona balaa ambalo angeleta, so kamuwahi.Inasikitisha sana kale katoto kalikojizoelea umaruufu kwa kuimba nyimbo za injili gospel akiwa mdogo miaka ya 2012 jotta ameweza kujibadilisha jinsia na kuwa mwanamke.
ALIZALIWA JIJINI JOSÉ Antonio VIANA De HOLLANDA , Jotta alifahamika kimataifa dhairi ni mwimbaji aliyeokoka mwenye nguvu ya kumuabudu MUNGU , alijulikana baada kushiriki katika shindano la muziki nchini Brazili lililoitwa Programa Do Raul Gil mwaka wa 2011.
Lakini amemwacha MUNGU na kuenenda na Ulimwengu . Ni jukumu letu sote kuendelea kumuombea na MUNGU AKUBARIKI SANA
Hata akijibadili jinsia hatakuepo na uwezo wa kuzaa. Na mtu mwenye Akili timamu na anayejielewa anapataje ujasiri wa kufanya mapenzi na mtu aliyebadili jinsiaInasikitisha sana kale katoto kalikojizoelea umaruufu kwa kuimba nyimbo za injili gospel akiwa mdogo miaka ya 2012 jotta ameweza kujibadilisha jinsia na kuwa mwanamke.
ALIZALIWA JIJINI JOSÉ Antonio VIANA De HOLLANDA , Jotta alifahamika kimataifa dhairi ni mwimbaji aliyeokoka mwenye nguvu ya kumuabudu MUNGU , alijulikana baada kushiriki katika shindano la muziki nchini Brazili lililoitwa Programa Do Raul Gil mwaka wa 2011.
Lakini amemwacha MUNGU na kuenenda na Ulimwengu . Ni jukumu letu sote kuendelea kumuombea na MUNGU AKUBARIKI SANA
Shetani ndie mungu wa ulimwengu huu amekabidhiwa na MUNGU mkuu sababu dunia sio milele.Sema nimegundua hapa duniani huenda kuna miungu zaidi ya mmoja
Huko kwa wakina kampa papa si hata sande skuu vya miaka 3 mnapelekea moto....ukubwani ndo hayo ya moshiNi aibu kwa mtume nu huyo miaka 50 kufumua katoto ka miaka 9
#BRINGBACKSTORIESKitoabu, tunangoja kwa hamu sana utupe stori za vimbwanga vya huko migodini. Hakika tulienjoy sana na stori za habari ya yale masaibu mliyokutana nayo huko migodini