Msanii Maarufu wa Nigeria Mercy Aigbe Asilimu

Hakuna dini nyingine duniani zaidi ya Uislam.

Wewe kitabu kipi ulifunsdishwa hiyo unayoifata kuwa ni dini?

Yesu mwenyewe akija leo ukimwambia "Mimi Mkristo" atakushangaa, haujuwi ukristo wala hajawahi kuusikia.

wewe bibi dini ni nini??
 
watu wengi wanaingia uislam

andrew tate kasilimu juzikati na ni mfano bora kabisa katika uislam.

tyson ni muislam safi waislam wanajivunia yeye na anauza bangi na kuvuta vyema kabisa.

barnaba huyu hapa juzikati kasilimu.

wakati manjivunia hao watu kwamba wameiona kweli,wenzenu wanautumia kama biashara maana wanajua mkiishawatamkia “mashaallah”hata jicho wakiomba mnawapa.
 
Hajitambui ngoja apate mapepo tumtoe kwa jina la yesu
 
Fear woman, huyu Maria ni nyakunyakuu ameslim kwa ajili ya mme wa mtu,kiufupi alijipatia Alihaji wake Tajiri akajislimisha mazima ili afaidi pesa hamna lolote.
Hata wewe kibibi ukipata kibabu chenye mshiko unakuja kwenye ukristo.
 
Tena kubwa sana.

Kuna fursa zaidi ya kujisalimisha kwa Muumba wake?

Vipi wewe, hujaiona fursa?
Bibi njoo huku kwa Yesu Kristo kumenoga...
Fursa za kuslimu ili nipate danga wapi na wapi
 
Haya yote ni baada ya kufurahishwa na Koran Sura ya Majini na mashetani aya za Shetain.. Hongera zake kuchagua hell...
Kambi yenu inabomolewa Sana...huenda kavutiwa na sura ya Maryam au ya Wana wa Israel
 
Bibi njoo huku kwa Yesu Kristo kumenoga...
Fursa za kuslimu ili nipate danga wapi na wapi
Huko si kwa yesu Bali kwa wakiristo,yesu hakujiabudu Wala kujiomba,alimuomba Mungu mwenyezi kila alipokwazika,nyinyi mnamuabudu yesu
 
Ndugu yangu kuwa muislam ni kujsalimisha kwa Muumba wako.

Uislam ni mfumo wa maisha yako kamili hapa duniani. Kutenda, kuamrisha mema na kukataa na kukataza maovu.

Lazima binaadam ujielewe upo hapa duniani kwa ajili ya nini?
just like Al Shabab and Alqaeida
 
Oyaaaaaaa!!!
Kwamba madame anapakia Kitibaridi na kushusha na K-Vant swafi kabisa
 
Mimi kabla kubadili dini nataka mtu tuelewane kabisa kwamba kama nitakufa na nitakua nimeingia chaka abebe kabisa mizambi yangu kwa maandishi na sahihi zetu ili nikifa nikakuta mambo kinyume niwaambie malaika wadili na aliyenishawishi kubadili
 
Huu ujinga imebidi nicheke tu 🤣
 
Ndugu yangu kuwa muislam ni kujsalimisha kwa Muumba wako.

Uislam ni mfumo wa maisha yako kamili hapa duniani. Kutenda, kuamrisha mema na kukataa na kukataza maovu.

Lazima binaadam ujielewe upo hapa duniani kwa ajili ya nini?
Ushasema MSANII hujui labda ni script mpya ndio imemuelekeza kufanya hivyo, fuatilia kwa umakini kuna kuumbuka haya Mambo ya wasanii waachie wasanii wenyewe
 
Sisi mambo ya kusilimu mtu yana umuhimu gani kwetu??

Mtu akiwa mkristo,muislamu,Hindu au asie na dini wote ni binadamu.

Na hakuna mtu aliekufa alafu akarudi kusimulia kuwa kule mbinguni kuna waislamu tu,au ni mbingu ya wakristo tu.

Tuwe na misimamo kiasi ya dini utaishi vizuri na watu popote pale
 
Wagalatia watamwaga matusi
 
Nilifikiri ni mercy chinwo mwimbaji wa nyimbo za injili, kumbe ni huyo muigizaji? Waigizaji huwa ni waigizaji tu hawaeleweki hata kwenye maisha ya kimahusiano ya ndoa ni chenga tupu, mifano ipo. Kaamua kwenda kuujua na uislam ukoje, ana uhuru hata wa kumuabudu shetani
 
H
Lipi la ajabu? ata mama yake Mnganga wa kienyeji Mwaipopo kasilimu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…