Msanii Mbalamwezi kutoka kundi la 'The Mafik' afariki dunia ikidaiwa ni kutokana na majeraha ya kupigwa

Kundi kubwa la mziki hawana special security wa kutembea nao?
Na ukishakua msanii mkubwa kutembea tembea ovyo sio sawa , bora ukae nyumbani ulale. ,tembea kwa lengo maalum labda either unaenda kusain deal au kufanya airtime kwenye redio, na zaidi ukiwa unaelekea huko hakikisha una ulinzi na usiende na miguu....kama huna gari, basi ita hata UBER.
 
Mmh
 
wanamionekano ya ajabu ajabu tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kna mwanangu mmja alikuwa anawapelekea cnbs
Daily supplier wao Ngj ntamgusa nkionana lzma Atakuwa kwenye masikitiko Sahv ya kupotelewa na mwana

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…