ha ha ha ha ha nimekumbuka mkuu alikua anamfuata hadi ofisini demu akawa anachomoa kuna siku kumbe bosi wa peace alikua mshkaji wake jengua da ilikua noma sanaPeace alikua mchepuko wake nayeye alishafariki kitambo, tabia ndo alikua mtoto ake
mmh... ...Sepetu kaungua halaf anadanganya watu et kakata utumbo....wakat aliopita nao wote tunawajua na wameungua...bongo muvi ni death trap
Ugonjwa wa nyani sio tishio Kama kisukari au kansa, na familia imesema hajafa kwa ugonjwa wa nyani Bali alipoozaUnaweza Kuonyesha na Kuthibitisha pasi na Shaka kabisa kuwa ni wapi nimesema Kafa na UKIMWI au hata nimeutaja huo 'Ugonjwa' wa UKIMWI?
Mama mia!!! Tumekwisha aisee..Sepetu kaungua halaf anadanganya watu et kakata utumbo....wakat aliopita nao wote tunawajua na wameungua...bongo muvi ni death trap
Andika wewe kwanzaHakuna hata aliyeandika "biography" ya mzee...alizaliwa wapi...alisoma wapi...alipita wapi mpaka kuja kujulikana hapo KIDEDEA.....???
Mim ukimwi Sina, Ila nakushangaa sana unavyouchukulia ukimwi Kama ugonjwa wa ajabu wewe wapi, Zama hizi unaogopa ukimwi ogopa kansa, neurodegenerative diseases, na kisukariNimeomba 'Uthibitisho' wako ni wapi nimesema Kafa na UKIMWI na kwanini unataka Kulazimisha Ugonjwa wa Nyani namaanisha UKIMWI? Unao?
Ulizaliwa kupitia kwenye tigo,ndo maana unaleta kejeli kwenye magonjwa na vifo vya watu..kibhombo wewePamoja na 'aliyekojolewa' na aliyekuhifadhi 'Kendeni / Pumbuni' Kwake na leo hii ukawepo nasi hapa duniani.
Ulikuja kwa bahati tu,kupitia tigo ndo maana uleta dharau kwa magonjwa na vifo vya watu,tunamlaumu Dingi yako siku hiyo alisahau kupiga nyeto..ukapatika asshole kama weweNaona umeamua sasa kutoa Siri yako hasa juu ya ujaji wako duniani na njia uliyokuja nayo hivyo unadhani na wengine wote tumepita hiyo hiyo tu.
Mbona hiyo ipo kitambo?Kwani na Yeye ana 'Ugonjwa wa Nyani' Mkuu?