I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Tumepoteza kipajiDaah R.i.p mzee wetu.
Tutaendelea kukumbuka kwa husika zako ::mzee mchawi, mzee mwenye roho mbaya, mzee wa kijiji, mzee wa busara na n.k.
katika kazi zako za sanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumepoteza kipajiDaah R.i.p mzee wetu.
Tutaendelea kukumbuka kwa husika zako ::mzee mchawi, mzee mwenye roho mbaya, mzee wa kijiji, mzee wa busara na n.k.
katika kazi zako za sanaa
Kuna mtoto wake mwingine nae alikula sana mabiti na mboko juu alikua akiitwa Tabiayeah ni level za kina mzee majuto nakumbuka alikua na mtoto wake anaitwa peace kwenye maigizo ya kidedea enzi hizo da alikuwaga noma sana dingi mkali mtoto anatoroka kwenda disco
Dally KimokoMzee Mohammed Fungafunga maarufu katika tasnia ya filamu kama "Jengua" amefariki dunia leo Desemba 15, Mkuranga mkoani Pwani baada ya kuugua kwa muda mrefu..
Aisee😀😀!Kibasila na Mwaisela zote ni Muhimbili tu.
Mkuu amebakia Kingwendu ...Innalillah waynnayilah rajiun, huyu mzee ndo msanii aliyekua kabaki nikiangalia movie zake nafurah baada ya kututoka mzee majuto..
Kafanya makubwa sana kwenye tasnia, Sadly watu Hawa hata wakifaliki huwa hawasaminiwi ila akifa mwanasiasa unaskia soko flani linapewa jina lake inasikitisha sana
Innalillah waynnayilah rajiun
Kama namuona polepoleUliingia kwa 'Binadamu' kutokea kwa 'Nyani' wa Misitu ya Congo DR ( zamani Zaire ) na Kugundulika nchini Uganda mwaka 1981. Unawafagia sana.
ahahahah wewe jamaa bhanaKwani kuna mahala popote pale nimeandika kuwa Mimi GENTAMYCINE sitokufa? Waambieni 'Ugonjwa wa Nyani' huu unawaliza mno Wasanii Wetu.