Msanii namba 1 Afrika kwa sasa, Diamond Platnumz ajenga nyumba ya Ibada (Msikiti)

nikuulizee..?!
 
Mashehe watujuze msikit umejengwa kwa pesa ya haram je itaswihi watu kuswal humo
 
hivi mtoa mada kumbe uliandika msanii namba1 africa? Aisee sikuona kabisa hii pumba uliyoandika list ya wasanii bora Africa ni ndefu sana hadi umkute Diamond acha kuandika kwa mahaba
 
pesa za wimbo unasema "anifinyie kwa ndani.." ndio zinajenga msikiti?
 
Kila mtu na zama zake, ndio maana nikasema bora kwa mwaka huu. Wala sijazungumzia utajiri ila ubora wa msanii. Hao uliowataja walikuwa bora kwa wakati wao sasa hivi wamebaki kupewa heshima tu. NIMEELEWEKA
ndugu we unaishi kwenye handaki nn? unaonekana huna Idea kinachoendelea duniani
 
Huo ni msikiti au kajumba ka kunywea kahawa? Angejenga walau wenye size ya msikiti wa Mahita Moro au ule wa Ghadafi Dom tungemuelewa
daaaaah mkuu ndo uwezo wake kumkomesha we jenga mkubwa kuliko huo alafu kimya kimya wala uclete habar hapa jamvini
 
Mumche Mola huku kiburudika na nataka kulewa lewa nataka kulewa lewa
 
Watu wajinga xan wamesahau kuna sheh m1 cjui kishk alipokea zawadi ya clous
 
Huo msikiti haufai kufanyiwa ibada ya swala
wakati mwingine bora kunyamaza tu haswa kwa mambo ucyo na elimu nayo maana ukiongea ndo watu hutambua we ni mmtu wa namna gani
 
Sidhani kama inaruhusiwa katika hiyo dini, labda kama atasali yeye na kundi lake la WCB
 
hivi mtoa mada kumbe uliandika msanii namba1 africa? Aisee sikuona kabisa hii pumba uliyoandika list ya wasanii bora Africa ni ndefu sana hadi umkute Diamond acha kuandika kwa mahaba
Kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…