Basi vizuriNtajirekodi vp wakat nakazana?...unataka tujaribu?
Yaani mie ndio nimechukia balaa, sijui kaka zake watamfanyaje?? yaani ni kero kwa familia.Nimeumia sana labda alibwia unga
haya mdogo wangu nashukuruDada nakusalimu tu usiniulize mi nani ujue una ndugu wengi eh
hahahaahha tupaja twa kukuMi sioni kitu hapo zaid naona tupaja tu basi
iliibwa sio iliibiwaImekuaje hadi hiyo video yao ikawa hadharani..!!??? Wadukuzi...!!??? Wao wenyewe kwa pamoja...!!!??? Au mmoja wao....!!??? Au simu iliibiwa...!!???
Sawailiibwa sio iliibiwa
Kwan kama anakula Bilnas inashindkana nini kuliwa na aslay?siwalikuwa wanasema eti icho kidemu kinaliwa na Aslay yule wa yamoto?
Kwa kiki hizi za kishamba, ndiko anakoelekea.Huyu nilikuwa namuona kama anajitambua hivi, bado kusikia anatumia madawa ya kulevya
Vioo vya jamii ni pande zote yaani negative na positivewanajiitaga vioo vya kujamiii
Tatizo lingine hawajaandaliwa kuu-handle umaarufu akitoa nyimbo ikabamba ndio unakua mwanzo wa safari yake ya umaarufu na kukutana na marafiki wapya ambao kigezo cha msingi cha kukutana ni music na taasinia zingine (wenyewe hujiita Stars) hivyo mienendo mingine ya kitabia inafuata tofauti na kitaa kunakuwa na bond flani hivi inatokea automatic alafu mengine ndio yanafuata. Wengi wa watu hawa ni wale wanaachana kabisa na marafiki wao wa zamani na kujiunga na ma-star wenzake na kujikuta taratibu wana lostVijana ustaa wa bongo unawazuzua,ngoja waendelee kusambaziana upupu.
Jamaa anaishi stooGheto chafu duuh
Jamani kama wewe ni mtoto na bahati nzuri wazazi wako ni hai mjitahidi kutunza heshima zenu.na uaminifu .Watoto wanaumiza wazazi sana sana na sio mzazi wako tu mtu yeyote aliyezaa hategemei kuona uchafu huu kwa mtoto wake.Watoto mnaua wazazi.wenu acheni tabia za kichafu wazazi wengi siku hizi za karibu wanasumbuliwa na PRESSURE heart attack na wanakufa plz plzNimeumia sana labda alibwia unga