Msanii Nandy aomba radhi baada ya video yake ya faragha akiwa na Billnass kusambaa mitandaoni. BASATA wamtetea

Msanii Nandy aomba radhi baada ya video yake ya faragha akiwa na Billnass kusambaa mitandaoni. BASATA wamtetea

Tatizo lingine hawajaandaliwa kuu-handle umaarufu akitoa nyimbo ikabamba ndio unakua mwanzo wa safari yake ya umaarufu na kukutana na marafiki wapya ambao kigezo cha msingi cha kukutana ni music na taasinia zingine (wenyewe hujiita Stars) hivyo mienendo mingine ya kitabia inafuata tofauti na kitaa kunakuwa na bond flani hivi inatokea automatic alafu mengine ndio yanafuata. Wengi wa watu hawa ni wale wanaachana kabisa na marafiki wao wa zamani na kujiunga na ma-star wenzake na kujikuta taratibu wana lost
[emoji106]
Uko sahihi kabisa mkuu.
 
basi watu wanavyo liponda gheto unaweza hisi wao wanaishi sehemu bora zaidi. humu zaidi ya 50% hatuna ghetto kama ilo. wengine bado wanalala kwenye deka za chuo nao wanadhihaki ghetto.

heshima ya nandi kwishaaaa
 
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Nandy ambaye hi leo amekutwa na balaa la kuvuja kwa video yake ya utupu, ameomba radhi kwa watu mbali mbali ikiwemo kanisa lake juu ya video hiyo, inayomuonyesha akiwa faragha na msanii mwenzake Bill Nas.

Nandy akiongea kuelezea video hiyo






nady.JPG

Akizungumza hilo Nandy amesema video hiyo ni ya mwaka 2016, na haelewi kwa nini mtu aliyeivujisha kaamua kufanya hivyo, lakini ni kitendo kilichomuumiza sana hivyo anaomba msamaha kwa jamii, mashabiki, kanisa na kila mtu ambaye imemgusa kwa namna moja au nyingine wamsamehe, kwani tayari anajutia jambo hilo.


“Nimesikitika sana, hiyo video ni ya ukweli ni ya mwaka 2016, nilikuwa na mahusiano na Bill Nas na tulikubaliana iwe siri, sasa sielewi kwa sababu gani kaamua kuvujisha, nimesikitishwa sana, ni video ambayo ilishutiwa kwa snapchat, sasa sielewi wakati ameipata hiyo video alikuwa nayo au alichukua mwenyewe, sijui niseme nini, naomba radhi sana kwa familia yangu, kanisani kwangu, serikali yangu, mashabiki, naomba radhi sana, adhabu ya maumivu ambayo nayapata imetokana na kumuamini mtu, ilikuwa ni private”, amesema Nandy.


Wawili hawa mara kwa mara walikuwa na skendo ya kuwa na mahusiano lakini wamekuwa wakikanusha, na watu kuanza kuibua hisia upya baada ya Nandy kumtakia heri ya siku ya kuzaliwa Bill Nas kwa kupost picha inayomuonyesha akiwa kifuani kwake.


Chanzo: EATV
 
Hawa wasanii wanakuwaga na management hizo zinafanyaga kazi ghani ? hajui haka kaclip kutoka kanaweza msababishia umaarufu wa wimbo wake aliofanya na aslay kushuka ? ni kweli hakuna aliyemsafi lakini ndio maana haya mambo tunafanya sirini.arafu akishaachana na hyo b,wanaume wote watakao mfata watakuwa wamemshusha thamani
 
Back
Top Bottom