Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi sio 'mastaa' kama wao, so hata tukilala chooni sio ishu[emoji1]basi watu wanavyo liponda gheto unaweza hisi wao wanaishi sehemu bora zaidi. humu zaidi ya 50% hatuna ghetto kama ilo. wengine bado wanalala kwenye deka za chuo nao wanadhihaki ghetto.
heshima ya nandi kwishaaaa
Video yake ya faragha, kama imevujishwa bila yeye kutaka, anachoombea msamaha nikipi sasa?
Ukishakubali kupiga hizi video, inabidi ukubali kwamba kuna siku zinawezakuvuja na zikivuja utakuwa poa tu.
Inawezekana walitaka kurekodi ili kujikumbushia.Wasanii wana mambo sana mkuu, nnachojiuliza, yeye na huyo jamaa yake tayari wanajua walichokua wanakifanya.
Kama hawakuwa na haja ya mtu mwingine nje ya wao kujua mambo yao ya faragha, haikutakiwa kurekodi kabisa.
Unapokubali kurekodi ni kukubali madhara au chochote kitakachotokea kutokana na hizo picha.
Inawezekana walitaka kurekodiili kujikumbushia.
Pengine kuna mtu jongoohapandi mti mpaka apate kitu cha kupata kick, halafu hawataki kumuangalia mtu mwingine, wanataka kujiangalia wenyewe.
Wana haki ya kujirekodi, ila hawana haki ya kupoteza walivyojirekodi maana video zinaweza kufika mpaka machoni pa watoto wasiotakiwa kuona mambo ya wakubwa.
Kwangu, ana lawama za kuruhusu video kupotea, hana lawama za kuchukua video, hayo ni mambo binafsi.
Tafadhali bange iheshimiwe !Hayo ndo madhala ya kutembea na mvuta bangi
Mvuta bange haaminiki popote pale trust me
Hizo picha had nimejisikia aibu jamani. Why Nandy, why???
"dawa" ina heshima yake ukizaliwa chenga usiisingizie!Hayo ndo madhala ya kutembea na mvuta bangi
Mbona Bob kaaminika kwa nyimbo zake nzuri ?Mvuta bange haaminiki popote pale trust me