Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
Mi ilinitoa nishai so nimeshaigopa"dawa" ina heshima yake ukizaliwa chenga usiisingizie!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ilinitoa nishai so nimeshaigopa"dawa" ina heshima yake ukizaliwa chenga usiisingizie!
Usihangaike hata kupiga kura mkuu!Mvuta bange haaminiki popote pale trust me
Sure! As a lady, nimeona amenidhalilisha. Had pichu kuwa public!!! HapanaHahah eti umepata aibu?
Fuatilia vizuri bob wengi walimuona kama kichaa ila alibarikiwa kuandika meseji nzito kwenye nyimbo zake hata Nyerere aikuwa ana m term Bob mhuniMbona Bob kaaminika kwa nyimbo zake nzuri ?
Kivip nduguUsihangaike hata kupiga kura mkuu!
Aibu ya mwezi. Ametumia 2016 kama excuse tu, kwani wimbo wake wa sina jambo ni wa 2016! Maana nimeusikia kwenye background ya huo uchafu wao[emoji36]Khaaa hasara ya kudate wahuni,lazima wakudhalilishe kama hivi,ila Nandy ukome bibie wa kiranga alaliwi matanga mfyuuu video umeirekodi mwenyewe hata ujitetee ni 2016!
HahahaNimemsamehe kama mwanamke mwenzangu
One step at a time, ulizidisha, Obama haijawahi kumuaibisha, hapa nchini ni remedy ya state figures you wont believe, kuwa mlevi wa chochote ndio tatizo kwahiyo rekebisha sentensi yako "mlevi wa" na sio "mvuta/mtumiaji"Mi ilinitoa nishai so nimeshaigopa
Pole sana ila ndio wasanii wetu hao bila kik hawajafanya kituSure! As a lady, nimeona amenidhalilisha. Had pichu kuwa public!!! Hapana
Kuna watu wakitumia busara inaongezeka ila wengi wakitumia wanakuwa mandezOne step at a time, ulizidisha, Obama haijawahi kumuaibisha, hapa nchini ni remedy ya state figures you wont believe, kuwa mlevi wa chochote ndio tatizo kwahiyo rekebisha sentensi yako "mlevi wa" na sio "mvuta/mtumiaji"