Msanii Nandy aomba radhi baada ya video yake ya faragha akiwa na Billnass kusambaa mitandaoni. BASATA wamtetea

Msanii Nandy aomba radhi baada ya video yake ya faragha akiwa na Billnass kusambaa mitandaoni. BASATA wamtetea

Sisi sio 'mastaa' kama wao, so hata tukilala chooni sio ishu[emoji1]
Nyie ndo huwa unawafanya ma star ni watu wa dunia nyingine hawafai kuishi kama sisi matokeo yake ndo kutumia madawa pindi mambo yaendapo kombo.

alafu star bongo ni jina, wangap mambo yanawashinda na kuomba msaada ama kufa kwa kukosa mkwanja.
 
Fuatilia vizuri bob wengi walimuona kama kichaa ila alibarikiwa kuandika meseji nzito kwenye nyimbo zake hata Nyerere aikuwa ana m term Bob mhuni
Sasa kama alikua anavuta "kitu" then anaandika mashairi mazuri hadi baba Nyerere kamkubali iweje una i-Dis bange ?
 
Majibu ya BILNAS JUU YA HIYO VIDEO
Screenshot_2018-04-12-19-02-31.png
Screenshot_2018-04-12-19-02-36.png
Screenshot_2018-04-12-19-02-02.png
 
Kwahiyo kaanza kuchezewa kinyeo chake toka 2016
 
Huyu manzi nilikua namkubali sana ila ndio ivyo tena daah.

Alafu hilo ghetto mbona kama sio la mtu mwenye dough? Ghetto kama langu enzi nasoma??
 
Kachup kenyewe mtumbani, Chumba Kipo rafu adi nimepiga chafya
 
Binti kasema vizuri tu.

Video ilikuwa private watu wakaimwaga.

Binti hajatunga uongo kukataa kwamba si yeye. Kakubali ni yeye. Hapa kaepuka kuongeza kosa la uongo. Kwa hili namoa heko. Kawa muwazi tu.

Mi binafsi nishamsamehe hata kama sijaona hiyo video na sioni cha kusamehe.

Binti mkristo. Kaomba msamaha mpaka kanisani kwake.

Hata kwenye sala ya bwana (nafuatilia sana maandiko matakatifu katika muktadha husika, kinyume na wengi wanavyoweza kufikiri) wakristo wameambiwa wasamehe kama na wao watakavyosamehewa, hivyo kutomsamehe mtu aliyeomba radhi ni kitu kibaya.

Halafu hawa mabinti wengine roho zao nyepesi mkiwashikia bango sana hamchelewi kusikia wamekunywa vidonge na kujitoa uhai.

Iwe fundisho kwa wengine.

Ila upande wa pili unasema binti katuma video mwenyewe ili kupata kick na msela ana mpaka voice notes.

Hapo lazima unuse ushuzi na kuona hawa watoto hawana akili nzuri vichwani.
 
Pigo jingine kwa bwana Ruge Mutahaba....hahaha tutegemee Bill Nenga na Nandy muziki wao kutoskika tena CMG...
Bwana Ruge, atakoma kutembea na watoto wadogo, anatakiwa ajue yeye ni MTU mzima aachane na watoto wadogo
 
Kusema kweli nimechelewa sana kuipata crip ya billnas na nandy wakijirecord wakati nandy anashikwa makalio tena akiwa na nguo ya ndani tu. Mbaya zaidi aliyekua ana irecord hiyo video ni nandy mwenyewe.

Kilichonishangaza ni ile heshima niliyokua nampatia huyu binti. Kwakweli nilitokea kumuona ni binti mwenye maana sana na anayejielewa kutokana na nyimbo zake.
Kumbe naye ni hopeless kabisa.

Kuanzia sasa namuona mshenzi tu kama wale wanaojipanga kona bar na meeda bar sinza.

Pumbavu kabisa. Yaani mpaka nahisi nimedharirika kwa nilivyokua namchukulia
 
Huenda na yeye huwa yupo mitaa hiyo ya Corner na Meeda. Why not?
 
Kuna watu ni wachafu jamanii sasa pale ni chumbani au stoo [emoji16][emoji23][emoji23]. Lool


Wenyewe vijana wa bongo fleva wanakuambia mwanamme hutakiwi kuwa msafi wala kulala sehemu safi ule ni ubisho tu. Wanadai eti mwanamme jalala, unakula kichafu, inabidi unuke makwapa, kwa hiyo msimshangae alosto Bilnas mumshangae Nandy kubanjuliwa jalalani wakati yeye mwenyewe ni mzuri.
 
Back
Top Bottom