Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
Hata mimi namkubari ila mi niliacha bangi baada ya watu kufananisha kila tukio baya na bangi tena wanaita MibangiKweli broo..lakini alisimamia alichokiamini..Bob alikua real
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi namkubari ila mi niliacha bangi baada ya watu kufananisha kila tukio baya na bangi tena wanaita MibangiKweli broo..lakini alisimamia alichokiamini..Bob alikua real
Bob alikuwa na kitu cha zaidi ya kula kaya,na huwezi kuwaridhisha binadamu wote,remember that,kwa nini wasifananishe na pombe?Hata mimi namkubari ila mi niliacha bangi baada ya watu kufananisha kila tukio baya na bangi tena wanaita Mibangi
Chunga meno usijebaki kibogoyoDuuuh ivi inanogaga zaid mkiwa mnafanya uku mnajirekodi????
Ebu leo nitajaribu na bae nione inakuaje.
Mmasai yule asiponilamba vichwa cjui mana kibuti kitakua hakitoshi
Hakika, na atangaze ‘bei elekezi’ kabisa maana wateja ni wengi wa hiyo mikitu.Nandy hakuna haja ya kuomba msamaha, tengeneza video nyingine nyingi kama hizo sisi tunasubiri.
Haya mnayoyasema huku JF,mnayaishi kweli?Star anashindwa kununua hata chup nzuri, yenye kuvutia?? Jamani mama zetu anzeni kuwafunda tena hawa watoto, chumba kichafu kama dampo, na kwahiyo chup tu mi hamu ingekata kabisa, ukijua unaenda kutoa mchezo unajiandaa, vaa hata nyeupe na tumaua twa kuvutia, ee mama!!! Hata jamaa anaonekana hajainjoi chochote, warudisheni Somo mabinti wajifunze usafi sio kujiparamua ma make up tu, na hicho chumba lazima kinatoa harufu ka choo ya walevi
Duuuh ivi inanogaga zaid mkiwa mnafanya uku mnajirekodi????
Ebu leo nitajaribu na bae nione inakuaje.
Mmasai yule asiponilamba vichwa cjui mana kibuti kitakua hakitoshi
Mlisha vutaga nae hizo bange [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Wizara wamfungie, ili ajifunze wavuta bange sio watu wazuri
Da mange kasema vidio imetupiwa na bashite ili kutusahaulisha maandamano [emoji23] [emoji23]
Mkuu ina maana inakuuma wewe zaidi kuliko mhusika mwenyewe?! Dah,kweli dunia ina maajabu yake.Dah,ki ukweli inauma ujue ni zaidi ya maumivu aliyonayo mdada NANDY,ila iwe fundisho kwa watu wengine hata kama ni mpenzi wako kuhusu swala la kuji record huku mkiwa faragha ife maan unaweza jikuta unapata shida bila ya wewe kutarajia hasa ukizingatia mahusiano ya karne hii ni ya leo mko pamoja kesho mmeachana na bora iwe mmeachana kwa mema ila kama ni kwa ubaya matokeo yake ni kukusambazia vitu kaa hizi