Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Sasa umefurahi au umehuzunika??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HIVI KWANI NI WADADA TU WANADHALILIKA AU NI PAMOJA NA SISI MAKAKA PIA?Ndo watakpma hawa wadada kukubali Haya makamela kwenye faragha
Kama ndivyo, kabugi mbaya. Kuna njia za kutafuta attention, sio hiyo. Kwa image aliyokuwa kaitengeneza, hiyo haikuwa sahihi. Labda sasa aamue kuwa bad girl forever. Sidhani kama Giggy money angetoa hii watu tungeshangaa.Kwa mujibu wa billnass nandy ndo kaitupia hadharani ili kupata attention kuna ngoma anaachia soon..
Kama ni kweli basi hii dunia isimame nishuke maana sio kwa nilivyokuwa namheshimu huyu bi dada
Yani nandy hata me nlikuwa namheshimu sanaa na kumkubali ila hili daah.. Namuonea huruma kadhalilika sanaKwa mujibu wa billnass nandy ndo kaitupia hadharani ili kupata attention kuna ngoma anaachia soon..
Kama ni kweli basi hii dunia isimame nishuke maana sio kwa nilivyokuwa namheshimu huyu bi dada
Yanii kaaribu brand kabisa... Vile watanzania wanakumbuka mambo ya ajabu kuliko ya maana kazi zake hazitavuma kuliko huo upuuziSimu ilijirekodisha, hakukusudia. Kwa kweli huyu dada kajimaliza.
Unaweza tumia nguvu nyingi sana kujenga heshima yako ila dk moja tu unaweza ibomoa hiyo heshima na isirudi tena.
Binafsi, nilianza kumkubali kwa kazi zake ila nimemshusha sana kwa upumbavu huo.
Sisi ndio kwanza CV inapanda, Mungu katupendelea sana mbele ya jicho la jamii.HIVI KWANI NI WADADA TU WANADHALILIKA AU NI PAMOJA NA SISI MAKAKA PIA?
Inasikitishaa.. Ila pia unaweza kuta ni kiki maana wale nao hata siwaaminiSasa umefurahi au umehuzunika??
Imemuharibia sanaa...simu zimekuja na mambo mengi sana mtu anajishuti popote bila kujua athari zake hapo baadae
Kwa maana hiyo umesikitishwa na jambo hili,sivyo!??Inasikitishaa.. Ila pia unaweza kuta ni kiki maana wale nao hata siwaamini
Ahhaha...Sisi tunaonekana vidume[emoji23]Sisi ndio kwanza CV inapanda, Mungu katupendelea sana mbele ya jicho la jamii.
Jambo halina shida...yeye ndo namuonea huruma!!Kwa maana hiyo umesikitishwa na jambo hili,sivyo!??
Yani nandy hata me nlikuwa namheshimu sanaa na kumkubali ila hili daah.. Namuonea huruma kadhalilika sana
Kalikuwa kanaonekana decent sanaa... Yanii kumbe ndo mambo ya vilee tenaaUlikua huna kazi umweshimu Nandy [emoji23][emoji23][emoji23]