Msanii "Pasha" kwa sasa yuko wapi?

Msanii "Pasha" kwa sasa yuko wapi?

Hebu msinikumbushe Marehemu Maunda mimi unajua alisemaje?

Sijui liinii itafikaaa hisia zangu we kuzitambuaaaa.................( nifanye niwe wakoooooo mpenziiiiii?
 
Industry ya muziki ni ngumu sana kumaintain ndio maana watu wengi ambao walikua na vipaji halisi walipotea na wengi ambao wapo ni wale ambao wako kwenye strong management kidogo au wameonekana hawana madhara au wanafuata kile ambacho mfumo unahitaji wakifuate na wengine wapo ili mzani uweze kubalance kwa maana asili ya muziki ni kushindana... Indirect Monopolism iko applicable sana kwenye muziki.

Nakumbuka huyo jamaa wakati anatoka walitoka wasanii wengi sana kama kina matonya, kina Z Anthony, kina Jay I na kina Alikiba walitoka nyakati hizo nadhani, hata malow nae ni generation hiyo kama sikosei, kina spark, kina mb dog na kadhalika.

Yaani ilikua huku ukiskia si vibaya kumpenda mtoto hidaya, unakaa kidogo unaskia vailet, mara kidato kimoja, hujakaa sawa bembeleza hii hapa, mara paap kidato kimoja, huku na huku sinderela hii hapa, mara shwaaaaa mpenzi kiziwi huyu hapa, hujatulia vizuri inamana hii hapa ya mb dog...
2000-2010
 
Industry ya muziki ni ngumu sana kumaintain ndio maana watu wengi ambao walikua na vipaji halisi walipotea na wengi ambao wapo ni wale ambao wako kwenye strong management kidogo au wameonekana hawana madhara au wanafuata kile ambacho mfumo unahitaji wakifuate na wengine wapo ili mzani uweze kubalance kwa maana asili ya muziki ni kushindana... Indirect Monopolism iko applicable sana kwenye muziki.

Nakumbuka huyo jamaa wakati anatoka walitoka wasanii wengi sana kama kina matonya, kina Z Anthony, kina Jay I na kina Alikiba walitoka nyakati hizo nadhani, hata malow nae ni generation hiyo kama sikosei, kina spark, kina mb dog na kadhalika.

Yaani ilikua huku ukiskia si vibaya kumpenda mtoto hidaya, unakaa kidogo unaskia vailet, mara kidato kimoja, hujakaa sawa bembeleza hii hapa, mara paap kidato kimoja, huku na huku sinderela hii hapa, mara shwaaaaa mpenzi kiziwi huyu hapa, hujatulia vizuri inamana hii hapa ya mb dog...
Mkuu 2007-2008 kama sijakosea asee.
 
Ni humo humo mkuu, hadi around 2010, nyakati hizo muziki ndio ulikua muziki haswaa.
cinderela ya alikiba ilivuma kwenye miaka hiyo.... wahuni wakaingia na kuharibu kila kitu kabisa tangu kipindi cha akina diomond watoe nyimbo kama moyo wangu na nyingine za ajabu ajabu nimebaki na nyimbo za akina voice wonder tu
 
cinderela ya alikiba ilivuma kwenye miaka hiyo.... wahuni wakaingia na kuharibu kila kitu kabisa tangu kipindi cha akina diomond watoe nyimbo kama moyo wangu na nyingine za ajabu ajabu nimebaki na nyimbo za akina voice wonder tu
Hakika, na huyu voice wonder sijui alipotelea wapi? Nakumbuka ule nyimbo zake za "nimpende nani na ule wa nimekosa Mami" moja kati ya nyimbo zenye mashahiri safi sana.

Au kuna ile aliimba na Juma nature, sijui inaitwa hajazaa ile 😅😅😅... Talent zilikuwepo ila biashara ndio haikuwepo ila sasa talent hamna sana but biashara ipo.
 
Nyimbo yangu bora ya wakati wote ni Gezaulole iliimbwa na urafiki jazz
 
Hakika, na huyu voice wonder sijui alipotelea wapi? Nakumbuka ule nyimbo zake za "nimpende nani na ule wa nimekosa Mami" moja kati ya nyimbo zenye mashahiri safi sana.

Au kuna ile aliimba na Juma nature, sijui inaitwa hajazaa ile 😅😅😅... Talent zilikuwepo ila biashara ndio haikuwepo ila sasa talent hamna sana but biashara ipo.
Ni marehemu kwa sasa. jamaa walikuwa vizuri sana hiyo nyimbo hii hapa mzee mwenzangu
 

Attachments

Oyaa hili goma la Mr Paul ft marijani rajabu.....Zuwena
Jamaa alituliza kichwa hatari.
Shusheni magoma tule old school
Ukipata fursa na nafasi sikiliza pia chocolate ya Mr Paul ft Jose mtambo dah ngoma nzuri sana na ile sauti ya kile kidada aiseeh hua inakua burudani sana..
 
MB Dog ni msanii ambaye nakubali ngoma zake vibaya mno. Number one artist nyimbo zake zote zilikuw pin. Ina maana, Si ulinambia hizi hits they were before time. - MB Dawg man if you reading this just you know big respect for your work.

Kuna jamaa akitoa nyimbo Lisa by R Tony naikubaki sana ile ngoma. Ngoma nyingine ambayo ni all time for me ni H - Mbizzo - Mchumba. Mungu alaze roho yake mahala pema, hii ngoma nitazeeka nayo inshallah. .

Pasha ngoma zake one time nilikuw naimba zote. Dah miaka hiyo nyimbo ikitoka lazima ukariri
 
Hello..
Nilikua kwenye pitapita zangu nikakuta sehemu zinapigwa ngoma za zamani za bongo fleva..
Ghafla ikapigwa ngoma ya namuimbia ya Pasha aiseeh ilinisafirisha mbali sana kihisia huyu mwamba yuko wapi kwa sasa?..
Alikua amekamilika kuanzia vocal mpaka uandishi..
Kwenye hii ngoma ilipigwa biti na vinanda vya hatari kutoka kwa Mapigo na Saidi Komelei metro studio ndipo lilipopikwa hili dude..
Yupo stand ya buza kanisani hapo ana duka kama sio la vipodoz basi nguo fika hapo utamuona ukiuliza tu duka la pasha unaonyeshwa.
 
Ukipata fursa na nafasi sikiliza pia chocolate ya Mr Paul ft Jose mtambo dah ngoma nzuri sana na ile sauti ya kile kidada aiseeh hua inakua burudani sana..
Elewa baby
Ninachosema, wasije wakasema nakupiga...longolongo!

Ni kama chocolate
Ama vanilla
Ilivyo muhimu katika ice cream

Ni kama maji, ama chakula
Ulivyo muhimu maishani mwangu!

Mzani hauwezi kupima uzito wa penzi langu juu yako!!

Umenikumbusha mbali! Star TV miaka hiyo walikuwa wanapenda sana kuipiga.
 
Back
Top Bottom