and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Ulevi na utumiaji wa madawa halafu pesa ya kula ni taabu ni lazima uzeeke kabla ya siku zako.
Mungu amlinde asirudi huko, kwa maana addiction ya pombe na madawa ni mbaya sana.
Mungu amlinde asirudi huko, kwa maana addiction ya pombe na madawa ni mbaya sana.