Kama kusingekua na tafauti wala wewe usingelitofautisha ama ungeandika chadema tupu au ngada hivyo tendo lako la kutofautisha mandishi inamaanisha kunatofauti hata ktk maanaWala ngada lazima wateteane halafu wanaona dunia wanayo mkononi kama pipi vile. Chadema na Ngada hakuna tofauti
Akili kubwa ni ile inayoyaona mambo tofauti na watu wa kundi lako uliomo. Chid Benzi alikuwa "teja" pia si msomi, lakini ukimsikiliza kwenye maelezo yake hayo utagundua kwamba ana akili kubwa sana.Naomba uniambie maana ya akili kubwa
Inamaana wale wote waliemsikiliza kichaa akimteuwa kichaa mwenza ni vichaa?Hivi ukisikiliza kichaa nani hapo anakuwa kichaa?
Akili kubwa huangalia mambo kwa upana wakeNaomba uniambie maana ya akili kubwa
Wewe waonaje??Hivi ukisikiliza kichaa nani hapo anakuwa kichaa?
Naomba unipe maana ya aikli kubwa. TunaelAkili ya mtu unaitambua kwa jinsi anavyotanabahi kwa mambo chanya na hasi!!
Hata kama jambo halina maana ni akili ni akili kubwa? Mkuu kila mtu hutoa maoni kulingana na uwezo wake wa kufikiri. Nikukumbushe tu akili inaendana IQ ya mtu. Mtazamo na maoni ni kipengele kidogo sana katka upimaji wa IQ ya mtu, Siku nyingine ukitaka kupima IQ naomba uangalie outcome ya kile anachokifanya. Ahsanteile inayoyaona mambo tofauti na watu wa kundi lako uliomo
Kwanza unaposema kwamba kila mtu hutoa maoni kulingana na uwezo wake wa kufikiri, hapo unazungumzia utofautiano wa akili. Kwa ivo kwa jambo moja lile lile uwezo wa watu kulitambua hutofautiana.Mkuu kila mtu hutoa maoni kulingana na uwezo wake wa kufikiri. Nikukumbushe tu akili inaendana IQ ya mtu.
Mkuu narudia tena. Naomba utambue kuwa ukubwa wa akili yako utapimwa kutokana na outcome ya kile unachofanya.Kwanza unaposema kwamba kila mtu hutoa maoni kulingana na uwezo wake wa kufikiri, hapo unazungumzia utofautiano wa akili. Kwa ivo kwa jambo moja lile lile uwezo wa watu kulitambua hutofautiana.
Inteligence Quotient (IQ) ni nadharia ya kupima uelewa wa watu kwa kufuata kanuni fulani lakini si kipimo cha akili. Unaweza kuwa na IQ kubwa sana lakini kwenye maisha ya kawaida ukaonekana "huna akili"
Mtaua wangapi? Hatujasema Chid Benz kila siku anaongea ya maana. Bali kwenye hoja aliyotoa anaonesha ana akili kubwa kuliko wana CCM milioni 3.Upinzani wa Tanzania yafaa kutokomezwa by any means the gunpower being the best of all.
Kweli kabisa. Katika hili la kupima uelewa wa wana CCM, "outcome" ya kilichozalishwa kwenye akili ya Chid Benz ni kile alichokisema!Mkuu narudia tena. Naomba utambue kuwa ukubwa wa akili yako utapimwa kutokana na outcome ya kile unachofanya.
Ok. akili kubwaKweli kabisa. Katika hili la kupima uelewa wa wana CCM, "outcome" ya kilichozalishwa kwenye akili ya Chid Benzi ni kile alichokisema!
Kufikiri ni tendo.
Akili kubwa ni ile inayoyaona mambo tofauti na watu wa kundi lako uliomo. Chid Benzi alikuwa "teja" pia si msomi, lakini ukimsikiliza kwenye maelezo yake hayo utagundua kwamba ana akili kubwa sana.
Sijui wanakuelewa?Mtaua wangapi? Hatujasema Chid Benz kila siku anaongea ya maana. Bali kwenye hoja aliyotoa anaonesha ana akili kubwa kuliko wana CCM milioni 3.
Yeye siyo msahafu wa maisha ya kila siku ya Watanzania lakini katika hili yuko sahihi kwa asilimia mia moja.
Kuna wale jamaa waliomuita Mzee Lowassa fisadi kwa miaka nane halafu ghafla tu wakaanza kumsafisha, na wao wanazidiwa akili na huyu mtoto wa Ilala?.Nyie si huwa mnasema mna wanachama zaidi ya milioni 6, wote ni Maprofesa?
Kwani wao ni wana CCM kama wewe? Tatizo lenu huwa hamsomi kilichoandikwa kabla ya kuchangia.na wao wanazidiwa akili na huyu mtoto wa Ilala?.
Nimeuliza swali tu mkuu. Mwana CCM wa leo anaweza kesho akawa ni miongoni mwa hao jamaa.Kwani wao ni wana CCM kama wewe? Tatizo lenu huwa hamsomi kilichoandikwa kabla ya kuchangia.