Watanzania wenzangu tumejionea jinsi msanii MKUU wa muziki Ray C akihaha kuomba msaada wa watanzania wenzake kutokana Na madawa ya kulevya yalivyomdhuru.Msanii huyo Jana Jeshi la polisi lililazimika kumwokoa maeneo ya Kinondoni Manyanya.Msanii huyo wakati wa me akiwa anawika hapa nchini hakuwahi hata Siku moja kujitoa Kwa watanzania wenzake wenye shida mbalimbali au watoto yatima kuwatembelea Na kuwapa misaada.Lakini Leo yamemkuta anaomba asaidiwe.Nawasihi watanzania tunapokuwa tumepata tujaribu kuwasaidia wenzetu wenye shida tusijifanye sisi in malaika hatutapata shida on a Ray C tuliyekuwa tunasikia Leo Yuko
China, Leo yuko America.