Wanaume tunatabia ya kusukumiana wanawake, Boss akishakula anamshikishia na Rafiki yake naye ale... Ndio maana unakuta mastaa wa kike wanaliwa na mabosi wale wale...[emoji23][emoji23] Wanaoomba nyuchi wapo kirundo na mwanamke bila kuwa makini utashangaa umetoka na timu za mpira za mafungu.
Bongo nyosoo 😂😂Ruby ana mvuto flani hivi ni ngumu kidgo kuelezea, Kuna clip moja niliona anacheza singeli aisee binti kembamba lakin kalikuwa kanazungusha tutako vyake balaa, pale pale nikaanza kumvutia picha na kujisemea kimoyomoxo yaan haka unakaweka hivi Kisha unakabeba unapiga hivi!!! 😂😂😂
Braza anataka aende bampa tu bampa na historia za kina Ruge, sasa hivi anakimbizana na Chibu kuwala watotoTatizo braza anataka kumuiga boss wa tandale kwamba na yeye kapiga nyingi................ila braza kismati cha kukanyaga kondooo hana pamoja na pesa zake.........yeye ale wale wale walio na mabakuli na mabwawa ya stiglers goggle..........watu waliotembea kilometres za mlima everest
Usijali boss🤝Ukiwa free please let me know
Watu wabaya sana Mkuu, yaani mwenzao akiumia wao ni sherehe.Asantee....wewe ndio umeongea, comment nyingi humu hawataki kupiga vita rushwa za ngono, wengi ndio wanahararisha, wako radhi mtu ateseke kisa tu amesema hatoi uchi
Anataka madini yote pekee yake😀😀Kuna wanaume hawaridhiki na vitu vizuri walivyo navyo. Majizo ana mtoto mkali lulu, anahangaika na ruby wa nini? Ruby mwenyewe si yule wa wimbo wake wa mwanzo 'na yule' alikuwa pisi kali hasa enzi hizo
Hapa tungekuwa kwenye nchi zilizo serious, Majay alikuwa na kesi ya kujibu.Sisi wanaume ndio tunaoomba mzigo, tusiwalaumu wao... Siku sisi wanaume tukiacha kutengeneza rushwa za ngono, hawa viumbe hawatakuwa hivi walivyo
Nimechekaaa 🙌🙌🤣🤣Bongo nyosoo 😂😂
NajiulizaHuu upambe hauna kitu huu😂😂
🤣🤣🤣Jmn hayo yatalipwa tu usijaliKo hili deni nalipaje? 😂😂😂
Mwambie baba mchungaji anitumie ticket ya Twiga nije kwenye seminar na me mama😜
Mama mchungaji be free 🤣🤣Najiuliza
Nashangaa🤣🤣🤣🤣
Haloooo👌👌👌Mama mchungaji be free 🤣🤣
Chukua fungu la kumi hapo unilipie deni 😜
Fanyeni hivo baba na mama mchungaji nitazalilika miye!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jmn hayo yatalipwa tu usijali
Mungu kwanza
Fungu la kumi tunalo 🤣🤣Haloooo👌👌👌
Awwww!! Nina raha leo nna uhakika wa mshiko!Tunaloooo
Usiku mwema kipenzi
Nimechokaa
Mie nimemshangaa kweli kalogwa analeta ubisho ujuaji , eti wenye nchi anawadhalilisha atabakia na njaa tu bahati kaitupa matopeni machizi wengi .🤣🤣🤣🤣Nisikumbuke vipi,watu tuna mafile Yao kitambo.
Ila kwenye kuchanga karata mi naona kama anabugi,inakuwaje anawakataa watu wanaweza kumpa connection halafu anaenda date na vilamba lips mbalimbali anakaa anajibishana na watu Insta Sasa si Bora atoke tu na wenye maisha Yao?
Uasherati una gharama kubwa sana, si mmeona matokeo yake kwa hao mnaowaita kaka zenu!Hata ruge alikuwa akiwala sana hawa mabinti wadogo kipindi icho kaka zetu walifaidi