Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laki 1 anapata simu gani 😃Kama kuna mdada huku kakataliwa kwa ajili ya simu na ana ushahidi aje inbox apate laki 1 ya simu.
Nakazia
Laki 1 anapata simu gani 😃
Hivi weye ni jinsia gani?Kwa hiyo mnapenda kutoa tu,kuombwa kila saa
Sijui sana ila nahisi atakuwa ni mdada mwenye komwe fulani hivi unaweza hata kuombea mkopo... Yani komwe lake ni kama kivutio cha utalii ama nyara ya taifa au tuishie hapo...😂Hivi kwa uzoefu wako hapa jf huyo KISS 100 ni Me ama Ke?
Inategemea yupo katika phase gani ya maisha kusema hivyo unakua too general.Salamu kina kaka,Epuka kuanza mahusiano na mwanamke ambae hata simu ya mkononi hana.Huyo ni kiashiria kwamba ni mwanamke asiye mtafutaji.
Pia kama simu yake ni mbovu ni kiashiria kua maisha yake ni magumu na atakuchuna sana.
Unaamkaje na makasiriko hivi?Refer andiko la mwandishi wewe Pumbavu, kwani kasema Iphone? Andika andiko lako la Iphone.
Mwenye komwe fulani hivi..... 😂😂Sijui sana ila nahisi atakuwa ni mdada mwenye komwe fulani hivi unaweza hata kuombea mkopo... Yani komwe lake ni kama kivutio cha utalii ama nyara ya taifa au tuishie hapo...😂
Unaamkaje na makasiriko hivi?
Wapi nilitamka Iphone? Tuonyeshe tecno ya laki 1 kwanza. Iphone umeenda mbali mno.
🚮Refer tena.... Rudi kwenye andiko original, akili huna.
Mi nawaachia Uzi wenu sitaki dhambi nyingi...😅Mwenye komwe fulani hivi..... 😂😂
Kuna kitochi cha buku 50, huenda ndicho alichopigia hesabu 😂Unaamkaje na makasiriko hivi?
Wapi nilitamka Iphone? Tuonyeshe tecno ya laki 1 kwanza. Iphone umeenda mbali mno.
Uzuri wa mtu upo machoni mwa mtazamaji,utamu wa mwanamke upo kwenye komwe?Mwenye komwe fulani hivi..... [emoji23][emoji23]
Kwa ubaguzi wake lazima akione cha mtema kuni,🏃🏃Kivumbi hichi hakitamuacha mweka mada salama...
Nyie ndio mnafanya wanaume wote tuonekane hatuna akiliMwanaume halisi haogopagi kuchunwa.