Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Alikua anatafuta huruma ili atoe wimbo wake, sasa tuone ukitrend sio kujisononesha halafu unatoa boko.... binafsi tangu wimbo wake wa Moyo wangu tembea na yule sina wimbo wa Ruby ninaoujua.... kweli ana vocal nzuri ila sasa kuna sehemu amekwama na hiyo sehemu ndio anapaswa airekebishe na sio kusema habari za ngono.

Kama utakumbuka kuna kipindi alianza kua karibu na Mondi hadi zikaja tetesi anataka kusajiliwa Wasafi, ghafla akaja na gazeti kua Kusah anampiga na kumnyanyasa eti anamuhisi anatembea na Mondi, ndio ukawa mwanzo na mwisho wa ukaribu wake na Mondi.... you can imagine.
 
Naunga mkono hoja
 
Ana wakili mzuri lakini huyuuu!???
 
Huyu ni attention seeker, uzuri mazingira hayo karibia asilimia kubwa ya wanawake tunakutana nayo, ile attention aliyopewa wakati ule majizo anamtongoza ndo anayoitaka mpaka saiv sasa kapotezewa ndo maumivu yake hayo,, hii wanawake kama una akili ndogo inatusumbuaga sana kihisia unahisi kudharaulika na kukosa thamani
 
Mzee wa the storm is over alikua na tuition ya kufundisha muziki watoto wa kike. Aisee ukisoma kesi zake huko mahakamani hutamani kusikia muziki aisee. Aliyah ni mmoja wa wahanga.

Lucifer ndo alikua mkuu wa uimbaji hata baada ya kua Devil bado karama hiyo anayo na anatumia hiyo kila sehemu hadi kwenye nyumba za ibada ili kuvuna watu. Music ni lugha ya dunia. Music ndugu zake ni ngono, ulevi, majisifu, utupu, migogoro, na unyama.

Yuko dada mmoja muimba Gospel, black beauty na kishundu cha haja, na ni mke wa mtu lakini mzee wa......amefanya yake na kuleta madhara kwenye ndoa ya Muimbaji.
 
Upo sahihi kabisa, waliosema Mziki ni Shetani wala hawakukosea.... sie wanatuburudisha tu ila wenyewe wanapitia kwenye makaa ya moto, inasikitisha lakini sasa ndio Dunia hakuna cha kubadilisha.
 
Nadhani pia kila Media inamuogopa amejihisi mpweke sababu kila mtu anasem Ruby ana attitude mbaya sana, hana adabu hata kidogo na ngumu kumuhandle.... ana ego sio ya karne hii.
 
Wasipoombwa watadai HAISIMAMI! Tukiomba rushwa?!
😕⁉️😵🤔
 
Mwambie afanye muziki mzuri mbona nandi. Anaenda Juu Mtu unabidi ujitoe katika kundi la walalamikaji.
Mademu wa Tz wajifunze kwa nandi namna anavyopambana baada ya kulishwa Maarifa na Ruge mutahaba.
 
Kiukweli watakua wanatakwa Sana hawa wadada,kama mimi tu,Pipi nilikua namtamani vile,je kweli maboss wa kibongo wamuache kweli?
Ukija Linah,kajaa kinoma,hakyanani,ni rahisi wadau kuwaka tamaa
 
demu anayeombwa samaki halafu anashitaki huwa namwona hamnazo sana.

sasa umeombwa umeona haina maana kutoa si unakausha tu,kwani huyo ni kaka yako mpaka uone ni ajabu kukuomba papa!!!!
 
Weweee kitu inabana utarudi tu hata kwa machale..maana sikuiz mifuko ya rambo ni kibao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…