FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hatuwa [emoji777]
Hatua [emoji736]
Hizo shule ulienda kusomea ujinga?
Huwezi na Hutoweza Kuongea / Kuandika Kiswahili fasaha
Kiswahili ni lugha ambayo imetokana na Kiarabu na Kibantu na maneno mengine machache yaliongezeka kidogo kidogo kutoka lugha zingine za Afrika, Uropa na Asia. Kabla ya kuja wakoloni wa ki Uropa maandishi yote ya Kiswahili yalikuwa kwa herufi za Kiarabu na matamshi yalikuwa kwa lafdhi ya...