Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Hilo swala sio kwa majizo tu, lipo Sana maofisini, Sana Sana serikakini, polisi,jeshini, sekta binafsi, kuna kampuni moja ya ulinzi, ili binti apandishwe cheo, boss umuita na kuomba mzigo, tena anataka umpe palepale ofisini, atakuita, bafuni, stoo,warehouse, popote kwenye nafasi, Hilo eneo Lina watu wengi, kiasi kwamba uwezi kujua kama kuna binti analiwa mzigo,
 
Ni hakuna mwanaume ambaye hajawahi kuomba mzigo kwa kutumia nafasi yake hata kama ni ndogo kiasi gani.
Yaani ukishakuwa mwanaume hata vivulana vidogo vitatumia mwanya hata wa bomba la maji ulilowaachia pale nyumbani kuombea mzigo.
Utasikia uwe unachota bure kila siku ila na wewe jiongeze.

Shida ndugu zetu wadada huwa wanatafsiri tofauti.
Utakuta ulikuwa unampa lifti kila siku, ukiomba mzigo tu shida. Anaenda kukutangaza kwamba kisa ki-IST chako unamwomba mzigo.
Bomba la maji nyumbani na TV ya black&white ilinisaidia sana miaka ile. Aliyekataa ilimlazimu kwenda kuchota maji ya mto porini. Kumbe nisingekuwa teenager ningefunguliwa kesi ya unyanyasaji na rushwa ya ngono [emoji23]
 
Boss kafungua studio kubwa Afrika mashariki na kati hao ni wafitini tu na mahasimu wake wanatafuta sababu za kumchafua

Wanatumia hivyo vikaragosi kuchafua watu

Alafu kuna mtu alikuwa anamuongelea ruby kwamba ni mstaarabu ana uzungu mwingi sikuwa namjua sikuweza kukoment kitu

Sijui alikuwa na maana gani yule jamaa
 
Bomba la maji nyumbani na TV ya black&white ilinisaidia sana miaka ile. Aliyekataa ilimlazimu kwenda kuchota maji ya mto porini. Kumbe nisingekuwa teenager ningefunguliwa kesi ya unyanyasaji na rushwa ya ngono [emoji23]
Haha! wengi tumepitia huko. Na kizuri humlazimishi, anachagua mwenyewe. Akachote mbali huko au ajiongeze. Sema tukishakuwa wakubwa tunabadilika kidogo ila nature haipotei kabisa.

Shida inakuja unakuta dada kaja umsaidie kazi fulani, labda zinatokea gharama unajiongeza kwa hela yako. Huku kazi inaendelea unaamua kuomba mzigo wewe kama wewe bila kuhusisha kazi. Lakini yeye anakuchukulia umetumia nafasi yako kuomba mzigo.
 
You think, Vanessa mdee was well connected .she didn’t have to say that . Unless he was serious & wanted to marry Vanessa she said no . Which I could agree . Shule na media experience ipo pale . Lulu is a useless wife .
Majizzo kama angekua serious kumtaka Vee angembeba mchana kweupee, ila Majizzo alizama kwa Lulu na hao wadada kama walipitiwa na Majizzo waliamini wao ndio wangekua mama mijengo matokeo yake jamaa akakomaa na useless wife wake hadi leo.
 
Majizzo kama angekua serious kumtaka Vee angembeba mchana kweupee, ila Majizzo alizama kwa Lulu na hao wadada kama walipitiwa na Majizzo waliamini wao ndio wangekua mama mijengo matokeo yake jamaa akakomaa na useless wife wake hadi leo.
Why useless?
 
Marehemu Ruge alikuwa ndiyo kinara wa mambo haya. Huko majuu wanasema wanakucancel ukiwa na ishu kama hizi. Naona sisi badobado.
 
Back
Top Bottom