Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Huyo ni psychiatric. Sio majiko tu, hata mimi mtu wa huku Keisho Karagwe siwezi muomba.
 
Ni kweli ukiwa mtoto wa kike ni ngumu sn kutoboa bila rushwa ya ngono. Ni wananyanyasika haswa, na ukiwa mgumu kutoa ndo hvo kipaji kinakufa
 

Kati ya wanawake 100 wanaotongozwa 99 wanaliwa, anabaki mmoja, hao 99 hawawezi lalamika maana wameliwa, pengine yeye pekee ndo anakaza, nampa credit, mwache aongee.
 
Kati ya wanawake 100 wanaotongozwa 99 wanaliwa, anabaki mmoja, hao 99 hawawezi lalamika maana wameliwa, pengine yeye pekee ndo anakaza, nampa credit, mwache aongee.
Sio rahisi ruby kumkataa majizo inaonekana ruby kashaliwa sasa tena mwamba kapita kisela halafu shida ya ruby anaharaka sana anapenda kupewa first priority

Hata kipindi kile aligombana na clouds anataka alipwe malipo ya show zaidi ya wenzie sababu yeye anatembea na boss
 
Mi niwe na demu pisi kali kama luku, ya nini kuhangaika na milupo ya nje isiyo na kiwango kama mke wangu? Majizo naye ajue kuwa ruby ni demu wa mtu, atajisikiaje demu wake lulu kuna njemba inamfukuzia? Atulie na mke wake asitake vurugu za kimapenzi
 
Ndiyo nakubaliana na wewe Ila kukosa hit song ndio wamuombe utelezi.....utu wake anaulinda awe na hit song asiwe nayo.
 
Hata mimi niko hapa na watu wa kijijini kwetu nao wameshangaa sana baada ya kuona hii video ya huyu dada. Kesho tutafanya tambiko kwa sababu sio hali ya kawaida.
Natamani nicomment kitu lakini Hilo jina lako linanikata steam nahisi tutagombana tupigwe ban Bure.....hivi wewe mama Samia unajua umeme unavyosumbua Sasa?
 
Mbona hata katika hiyo video alitakaajichanganye akakatisha faster. Et alifungiwa chumba mlango unafinger print what next na hatukuwah sikia kama majizo aling'atwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…