Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu hana tofauti na Q chief, ukikaa nae karibu lazima mtatibuana😁Huyu demu ana mdomo mno mpaka kauthiri kipaji chake. Kila anaekuwa karibu nae kumsaidia huishia kumsemea mbovu.
Huyo ni psychiatric. Sio majiko tu, hata mimi mtu wa huku Keisho Karagwe siwezi muomba.Ila kuna jambo halipo sawa kwa huyu Ruby.
Nahisi huwa ana namna ya kuaminisha wanaume wanaomzunguka kuwa anataka kupigwa dudu halafu akiombwa papuchi anabadilika.
Haingii akilini kila siku ni yeye tu anaeombwa uchi huku akidai hataki kuutoa.
Huyu demu ana mdomo mno mpaka kauthiri kipaji chake. Kila anaekuwa karibu nae kumsaidia huishia kumsemea mbovu.
Chief wanaume huwa hawachagui sana mweusi twende, mweupe, mwembamba e.t.c hata kama una mke mkali..lazima ladha zingine zionjweNgoja kwanza, ruby ndio huyo kwenye picha hapo 🤔🤔 mbona kama ni kabaya Sana hivi 🤔 au anatafuta njia watu wamuongelee kwa lazima 🤔🤔
Sawa mkuu, maana nimejaribu kumuulizia hapa ibologelo na mpigamiti, vijiji vyote hawamjui...🤨Rubi ni msanii wa mziki wa Bongofleva... Ana nyimbo nyingi tu
Ni kweli ukiwa mtoto wa kike ni ngumu sn kutoboa bila rushwa ya ngono. Ni wananyanyasika haswa, na ukiwa mgumu kutoa ndo hvo kipaji kinakufaVanessa Mdee alishawahi kulalamika kuwa wasanii wa kike ni ngumu mno kutoboa kutokana na vikwazo wanavyokutana navyo kwenye tasnia ya muziki. Imagine mtu kama Lina Sanga kuna yule binti anaitwa Pipi alikuwa na sauti nzuri sans lakini aliacha kuimba. Hata Angela wa Harmonize figisu ni nyingi kwa mabinti. Vanessa hataki tena kusikia habari ya muziki wa bongo na alikuwa na talent kubwa.
Mimi Binafsi imenishangaza kuona Boss ananyimwa mzigo. Siku zote tumekuwa tukiamini ukiwa na pesa. Unapatiwa Mzigo fresh, ila kwa Majizzo nimeona pesa si kila kitu. Kuna mabinti ambao bado wanajielewa
Ila kuna jambo halipo sawa kwa huyu Ruby.
Nahisi huwa ana namna ya kuaminisha wanaume wanaomzunguka kuwa anataka kupigwa dudu halafu akiombwa papuchi anabadilika.
Haingii akilini kila siku ni yeye tu anaeombwa uchi huku akidai hataki kuutoa.
Huyu demu ana mdomo mno mpaka kauthiri kipaji chake. Kila anaekuwa karibu nae kumsaidia huishia kumsemea mbovu.
Mbona majizo ana demu pisi kali Lulu, inakuaje tena atake mzigo kwa Ruby, au ndiyo ile kuwa na hela ndiyo utake kupitia kila pisi kali inayokatiza mbele zako?
Sio rahisi ruby kumkataa majizo inaonekana ruby kashaliwa sasa tena mwamba kapita kisela halafu shida ya ruby anaharaka sana anapenda kupewa first priorityKati ya wanawake 100 wanaotongozwa 99 wanaliwa, anabaki mmoja, hao 99 hawawezi lalamika maana wameliwa, pengine yeye pekee ndo anakaza, nampa credit, mwache aongee.
Ndiyo nakubaliana na wewe Ila kukosa hit song ndio wamuombe utelezi.....utu wake anaulinda awe na hit song asiwe nayo.Yeye msanii atoe hit song aache visingizio
Management ya Ruby haijui biashara ya muziki.. wanamuachia Ruby afanye kila kitu ndio hayo yanatokea.. hit song hakuna wanabaki wanalalamika lalamika
Zama za social media mziki mzuri unatembea wenyewe.
Wasanii wa kike mara nyingi hawawezi kuandika nyimbo.. Ruby alipaswa awe na waandishi wazuri wa kiume wamwandikie.
Nandy ana bahati anaandikiwa na Billnass, Zuchu ana bahati anaandikiwa chini ya usimamizi wa lebo yake WCB.
Ruby alipaswa awe ananunua hata collabo za hits song za wasanii wengine ili kukuza brand
Tiwa savage msanii mkubwa ila amelipia collabo ili awekwe kwenye who is your guy.. sabab wanajua hits song ndizo roho za msanii kupiga pesa
Diamond anawalipa wacongo na kuwekwa kwenye collabo za hit songs zao sababu anajua hilo
Mario msanii mkubwa ila lonely alindikiwa yeye akairudia tu kila kitu..ili wapate hit song ya kutangaza album yake..
Ruby hana hit song tena zaidi ya huyu na yule kipindi yupo THT na Ruge... Leo anaimba upuuzi halafu anasema anabaniwa..
Natamani nicomment kitu lakini Hilo jina lako linanikata steam nahisi tutagombana tupigwe ban Bure.....hivi wewe mama Samia unajua umeme unavyosumbua Sasa?Hata mimi niko hapa na watu wa kijijini kwetu nao wameshangaa sana baada ya kuona hii video ya huyu dada. Kesho tutafanya tambiko kwa sababu sio hali ya kawaida.
Kwani ndoa ni mwisho wa upwiru kwa Mwanaume?Hao wanaobaka vichaa unakuta upwiru umewazidi na hawana access ya kupata papuchi
Mbona hata katika hiyo video alitakaajichanganye akakatisha faster. Et alifungiwa chumba mlango unafinger print what next na hatukuwah sikia kama majizo aling'atwaSio rahisi ruby kumkataa majizo inaonekana ruby kashaliwa sasa tena mwamba kapita kisela halafu shida ya ruby anaharaka sana anapenda kupewa first priority
Hata kipindi kile aligombana na clouds anataka alipwe malipo ya show zaidi ya wenzie sababu yeye anatembea na boss