Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Yeah very true kabisa... Shida nimeona kwenye replies wafu wengi wanampenda, ila huo ndio uhalisia.... Hawa Mabosi wenye TV na Mabosi wengi hadi serikalini wanapenda sana chini
Kwa kweli wanawake wanapata tabu sanaaa kwenye rushwa za ngono, si maofisini wala uongozini na wale wanaojua kula na kipofu kwa hesabu nzuri, ndio huwa wanafika mbali kirahisi

Kama rose muhando tu hakuogopwa licha ya jina na uinjilishaji wake, itakuwa Ruby

Sisemi tuhuma za Ruby ni kweli Ila hatuwezi kujitia upofu kwa kuona hii rushwa za ngono ni kitu kipya kwa wanawake
 
Andika kifupi:Aache mdomo mrefu......mtu gani alimchamba Hadi bibi wa mjukuu wake,!alikuwa na sababu gani za kumchamba mama yake Kusah?huyu anachambachamba watu hovyo hiyo itamcost........
 
Ni kama anatapatapa tu...
Mke wa Majizo kwa akili zake akijitokeza kuliongelea hilo nina uhakika atasema "Pole sana shosti wangu, tena umekua mstaarabu sana, maana mimi naona bado haujaongea yote. Tukutane nikupe umbea mwingine zaidi, ila tu cha ajabu ni kuwa hatutaachana, sasa sijui ameniroga au ni mimi nimemroga."
😀
 
Huyu Ruby angejituliza tu,Sasa anasema kamnyima papuchi Boss,wakati Huo Huo analalamika Boss hapokei simu yake,yaani hapo ni kama ana stress za kutopewa attention

Lulu amekaa jela.

Mwanamke yeyoye aliyewai kukaa jela kwa bahati mbaya anakuwa matured sana.

Jela ni bonge la shule kuhusu maisha
 
Sasa mbona anaforce asaidiwe?kama alishamkataa hakuwa na sababu ya kuongea hivyo kwenye mtandao,huko ni kuharibia mwenzie brandy yake aliyotumia muda na Nguvu kuitengeneza,na pia kutaka kuleta migogoro kwenye ndoa za watu,,stupid girl atakaa hivyo hivyo kila mtu ataogopa kumsaidia
 
Ume balance vizuri
 
Yaani kale katoto kana akili sana mixer ya kihaya na kichaga....Ruby safari hii game yake hajajua anayecheza nae,alizoe kumchamba na kumuonea Aunty Ezekiel mwenye akili zake kisoda😁😁😁
 
labda kwa vile hayajamkuta dada yako au mtu wako wa karibu ndo utaamua kuwa negative kiasi hicho
 
😂 mzee wa draft, naona unasogeza kete mdogo mdogo
 
Are you kidding me? Unaleta janja ya ''nyani kula mahindi mbichi''? Kwenye mambo ya tuhuma na uhalifu, binadamu tungekuwa tukisema ''ndiyo'' kweli inaanisha ndiyo, na tukisema ''hapana'' pia inamaanisha hapana, dunia isingekuwa kama ilivyo sasa.
Wewe ukiitwa Mwizi, husipokanusha tutajua ni Mwizi kweli... Sasa hapo shida hiko wapi Ofisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…