Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

Msanii Ruby amlipua Majizzo: Rushwa ya Ngono na mambo faragha

The entertainment industry is a modern slave farm. It's ran by psychopathic overlords who worship money and have an insatiable proclivity to be worshipped as gods.

I don't know if Ruby is telling the truth or not. But surely, young, talented and naive women like her, in pursuit of fame and success often experience unspeakable horrors and abuses from the so called DJs, Promoters and Managers.

Decades passed in Hollywood, nobody believed Harvey Weinstein was a sexual predator until when it was too late. Testimonies from the women he abused made me sick to my stomach.

Kiufupi Industry siyo sehemu salama kwa mtoto wa kike. Hawa wanaoitwa mabosi wanawashikisha sana meza hawa mabinti wasanii, na mpaka akili zinakuja kuwaingia wanakuwa wameshachakazwa vya kutosha na kutupwa huko kama takataka.
 
Kumbe unakumbuka Ila unajizima data 😁😁

Ruby kiukweli inaonekana hataki kabisa kujirahisisha na issue ya nandy kuwa replacement ilikuwa wazi. Ndio maana nyimbo za kwanza za nandy alikuwa anasound kama Ruby

Hata yule buibui nae alipigwa pini, Barnaba akapewa chance

Mwasiti na vumilia, yaani huu mziki ni kichwa ngumu

Nandy ametoa hits song nyingii baada ya ruge kufariki kuliko alivyokuwa hai.

Nandy ametamba sana bila ruge.

Ruby toka ameondoka THT hajawai kutoa Hit song hata moja kumzidi nandy
 
Ukiwa na lalamiko na ukaamua kujilipua, basi uwe na mikazo

Nakumbuka issue ya Ruge alilalamika issue ya malipo madogo, lakini baada ya mwamba kumkazia kuanzia promo hadi shows na kila akijaribu ni patupu

Baadae alirudi na kuomba live msamaha akiwa studio kuwa asamehewe kuna watu walimpotosha😂, wakati aliongea ukweli kabisa ambao wengi waliogopa kuusema kwa jinsi walivyonyonywa kimaslahi

Sasa hapa bila kutumia busara kaamua kulipuka, basi na awe na msimamo na ashikilie anachosema, vinginevyo atakuwa mropokaji tu

Maana kutongozwa kwa ushawishi wa fedha au mali ni kawaida, ila sio vyema ukiwa mlengwa umeolewa au mhusika atumie nguvu na kutaka kukubaka.

Anyway, ni muhimu kufunguka.
 
Haka kaRubby kenyewe kutwa kugombana na wamiliki wa Media.

Alianza kukorofishana na Ruge na sasa Majizo.

Ila napenda sana spirit yake ya kutonyenyekea pale anapoona kuna njama za kumlaghai na kumkandamiza.

Bahati mbaya sana Bongo, usipotoa kitu hupati kitu.
Hataki kuliwa sasa kwani nilazima??
 
Kumbe unakumbuka Ila unajizima data 😁😁

Ruby kiukweli inaonekana hataki kabisa kujirahisisha na issue ya nandy kuwa replacement ilikuwa wazi. Ndio maana nyimbo za kwanza za nandy alikuwa anasound kama Ruby

Hata yule buibui nae alipigwa pini, Barnaba akapewa chance

Mwasiti na vumilia, yaani huu mziki ni kichwa ngumu
🤣🤣🤣🤣Nisikumbuke vipi,watu tuna mafile Yao kitambo.
Ila kwenye kuchanga karata mi naona kama anabugi,inakuwaje anawakataa watu wanaweza kumpa connection halafu anaenda date na vilamba lips mbalimbali anakaa anajibishana na watu Insta Sasa si Bora atoke tu na wenye maisha Yao?
 
🤣🤣🤣🤣Nisikumbuke vipi,watu tuna mafile Yao kitambo.
Ila kwenye kuchanga karata mi naona kama anabugi,inakuwaje anawakataa watu wanaweza kumpa connection halafu anaenda date na vilamba lips mbalimbali anakaa anajibishana na watu Insta Sasa si Bora atoke tu na wenye maisha Yao?

Kuna watu hawapendi unyonge by nature kwa hiyo hawaangalii maslahi kwenye masualla yao kuliko kulinda pride

Ukiskia maskini jeuri ndo hiyo
 
Ruby anachangamoto kubwa ya kisaikolojia atafute wataalamu wamsaidie hilo kwanza akfanikiwa kutibu tatizo lake ndo aje na hili la kunyanyaswa kingono na kubaniwa tutamsikiliza
 
Kuna watu hawapendi unyonge by nature kwa hiyo hawaangalii maslahi kwenye masualla yao kuliko kulinda pride

Ukiskia maskini jeuri ndo hiyo
Hana pride yeyote Ile clip kajiaibisha,anajifanya anapride halafu anaanza kulia kwenye mtandao eti hasaidiwi!
 
Nandy ametoa hits song nyingii baada ya ruge kufariki kuliko alivyokuwa hai.

Nandy ametamba sana bila ruge.

Ruby toka ameondoka THT hajawai kutoa Hit song hata moja kumzidi nandy

Hadi ruge anafariki Nandy alikuwa tayari on top of the game na pesa alishaanza kuwa nayo

Na uzuri nandy anajua kuwa hawezi kuandika kwa hiyo huwa anakaa vizuri na waandishi wazuri kama marioo na jay melody ambao ni hit makers.

Ndio maana unamuona bado anafanya vizuri..

Sasa fikiria Ruby ambaye hata studio session hadi afadhiliwe, atawezaje kupambana na investment ya Zuchu, sarafina au Nandy

Na si kweli kwamba toka THT hajawahi tengeneza hits, kuna NIWAZE , ntade, nandondosha, alele, kelele.. Kiufupi alivyokuwa na kusah alirudi mjini
 
Hana pride yeyote Ile clip kajiaibisha,anajifanya anapride halafu anaanza kulia kwenye mtandao eti hasaidiwi!
Ushawahi kutana na maskini jeuri!!
Anataka umsaidie kwa terms zake yeye na Ruby anaona kipaji chake kinatosha kumfikisha mjini. Anachosahau kukosa mtunzi mzuri, producer mkali, video nzuri na connection kali hawezi kutoboa kirahisi
 
Ushawahi kutana na maskini jeuri!!
Anataka umsaidie kwa terms zake yeye na Ruby anaona kipaji chake kinatosha kumfikisha mjini. Anachosahau kukosa mtunzi mzuri, producer mkali, video nzuri na connection kali hawezi kutoboa kirahisi
Naona atajifunza kupitia huu uzi,maana wadau wamefunguka sana
 
Tatizo braza anataka kumuiga boss wa tandale kwamba na yeye kapiga nyingi................ila braza kismati cha kukanyaga kondooo hana pamoja na pesa zake.........yeye ale wale wale walio na mabakuli na mabwawa ya stiglers goggle..........watu waliotembea kilometres za mlima everest
 
Kwani ilikuwa ni lazima sana asaidiwe na Majizzo? Hakuna wengine? Halafu anaponda kulipwa laki 5 kwa show haiendani na brand yake si aende kunakolipa zaidi?

Demu dish limeyumba kidogo...
 
95% ya watanzania na waafrica ni Sadists. Furaha yao kubwa ni kuona mwingine anaumia. Roho mbaya ni kama jadi. Binti analalama na bado anabezwa. Inasikitisha sanaa.
Asantee....wewe ndio umeongea, comment nyingi humu hawataki kupiga vita rushwa za ngono, wengi ndio wanahararisha, wako radhi mtu ateseke kisa tu amesema hatoi uchi
 
Mhaya Yao sifa asili yake na dharau
WaHaya tumeingiaje hapo Ofisaa... Kwanza kila mtu anapenda sifa, Sifa ni maisha ya binadamu... Sasa wewe kama hupendi sifa, inatakiwa ukitizama mara mbili... Sifaa maana yake unajikubali, wewe hujikubali? Au unasubiri mpaka wafu wakukubali
 
Nina maswali kadhaa hapa

Kwanin hakusema hapo awali kuwa anaombwa rushwa ya ngono mpaka alipokataliwa kupewa saport?

Mbona kama anajichanganya anapesema kuwa Majay hampati mara wanaonana mara nyingi?

Ni huyu RUby aliekuwa THT wakagombana na Ruge kisa mambo haya haya ya ngono au mengine?

Nawaza kwa uzuri gani Ruby amfanye majizo kuhangaika hivyo kupata mbususu yake?
Wanaume hakuna mademu wanaotuumizaga vichwa kama Demu akuzungushe mzigo, wale wa staki nataka... Lakini hawa leo umekutana naye kakupa mzigo, hao tunaonaga wa kawaida... Uenda Ruby zile staki nataka ndio zilimchanganya majizzo
 
Back
Top Bottom