TANZIA Msanii wa Bongo Flava, Haitham Kim afariki dunia

Mwenyezi Mungu amweke panapostahili
 
Shida wasanii wanajisahau sana hapa Duniani,mtu km diva anasema Kwa mwezi matumizi yake y kawaida ni 10 Ina maana anaingiza Si chini ya million per day,anaishi nyumba analipa Dola 2500,halafu Wanaita watu masikini wanaishi stooo etc wakipata shida Sasa hv wanageuka omba omba,Ruge aliumwa hakuna mtanzania alimdhihaki hta Professa na wastars NAE hawakudhihakiwa hivi vidada viba nyodo Sanaa Ndo maana watu wanawadhihaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…