Msanii wa Nigeria, Kizz Daniel akamatwa na Polisi Jijini Dar

Msanii wa Nigeria, Kizz Daniel akamatwa na Polisi Jijini Dar

Kizz Daniel kalewa sifa hata nchini kwao alishawahi kufanya hivi, yaani anachukua mtonyo alafu analala mbele.Sasa huku Tanzania amekutana na ndugu zake Mandonga wacha wamnyooshe[emoji1787][emoji1787]
[emoji38][emoji38]nimeona comment ya last week wanamuambia utokee kwenye shoo huko usije ukachimba tuu!he si kaharibu bwana
Kumbe ndo tabia yake[emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Baada ya kushindwa kutoa burudani usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Next Door Arena msanii huyo kutoka Nigeria amekamatwa na Polisi.

=========

Baada ya kushindwa kutoa burudani usiku wa kuamkia leo Agosti 8, 2022 katika Ukumbi wa Next Door Arena, msanii Kizz Daniel kutoka Nigeria amekamatwa na Polisi.

Chanzo kutoka kwa waratibu wa shoo hiyo kimeeleza kuwa msanii huyo alichelewa ndege kutoka Nigeria na kuwasili Dar es Salaam usiku mwingi muda mfupi kabla ya shoo kuanza.

Mara baada ya kuwasilia Dar ikagundulika kuwa begi lake la nguo halionekani.

Usiku huohuo simu zikaanza kupiga sehemu tofauti ili msanii huyo apate nguo, baadaye zikapatikana baadhi ya nguo lakini alizikataa zote, hadi inafika saa tisa usiku hakukuwa na mwelekeo na mwisho hakutokea kwenye shoo.

View attachment 2318123
Sasa naamini wanawake wameelewa maumivu pale wanaume tunapotuma nauli halafu demu hatokei ghetto
 
[emoji38][emoji38]nimeona comment ya last week wanamuambia utokee kwenye shoo huko usije ukachimba tuu!he si kaharibu bwana
Kumbe ndo tabia yake[emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]
Ndio tabia yake,yuko na pride sana..Sasa alizania hapa Tanzania ni kama huko kwao..Jana kwenye iyo shoo yake watu wamefanya vurugu na uharibifu mkubwa je atalipa hizo gharama sababu anadai eti nguo zimechelewa kufika na akakataa kupewa nguo mpya sasa si ufala huo,au hizo nguo zilikua na JUJU.Maana hawa ma Yahoo Boys kwa uchawi mhhh
 
Ndio tabia yake,yuko na pride sana..Sasa alizania hapa Tanzania ni kama huko kwao..Jana kwenye iyo shoo yake watu wamefanya vurugu na uharibifu mkubwa je atalipa hizo gharama sababu anadai eti nguo zimechelewa kufika na akakataa kupewa nguo mpya sasa si ufala huo,au hizo nguo zilikua na JUJU.Maana hawa ma Yahoo Boys kwa uchawi mhhh
Hao wanaabudu sana uchawi
Nishapiga dili na watu wao uchawi mbele sana.
 
Back
Top Bottom