Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanaigeria kwa kulia Lia Mitandaoni wako vzr.Apigwe tukio mpaka ndugu zake wanaigeria waanze kutuchukia wabongo
Teh tehWataongea nae lugha gani?maana wabongo wanasema polisi wote hawajui kizungu
Str8up Vibe chini ya Sniper Montana, sijui saa hizi ana hali ganiNani alimleta?
Utamsukumaje ndani ikiwa ndege imechelewa kufika na bado aibiwe bag lake airport?Sukuma ndani..asilete ujinga..
[emoji38][emoji38]nimeona comment ya last week wanamuambia utokee kwenye shoo huko usije ukachimba tuu!he si kaharibu bwanaKizz Daniel kalewa sifa hata nchini kwao alishawahi kufanya hivi, yaani anachukua mtonyo alafu analala mbele.Sasa huku Tanzania amekutana na ndugu zake Mandonga wacha wamnyooshe[emoji1787][emoji1787]
Sasa naamini wanawake wameelewa maumivu pale wanaume tunapotuma nauli halafu demu hatokei ghettoBaada ya kushindwa kutoa burudani usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Next Door Arena msanii huyo kutoka Nigeria amekamatwa na Polisi.
=========
Baada ya kushindwa kutoa burudani usiku wa kuamkia leo Agosti 8, 2022 katika Ukumbi wa Next Door Arena, msanii Kizz Daniel kutoka Nigeria amekamatwa na Polisi.
Chanzo kutoka kwa waratibu wa shoo hiyo kimeeleza kuwa msanii huyo alichelewa ndege kutoka Nigeria na kuwasili Dar es Salaam usiku mwingi muda mfupi kabla ya shoo kuanza.
Mara baada ya kuwasilia Dar ikagundulika kuwa begi lake la nguo halionekani.
Usiku huohuo simu zikaanza kupiga sehemu tofauti ili msanii huyo apate nguo, baadaye zikapatikana baadhi ya nguo lakini alizikataa zote, hadi inafika saa tisa usiku hakukuwa na mwelekeo na mwisho hakutokea kwenye shoo.
View attachment 2318123
Lakini asingekosa nguo za kwenda kwenye show..coz watu wamelipia na wanamsubiri yeye..kutotokea ni kukosea sana.Utamsukumaje ndani ikiwa ndege imechelewa kufika na bado aibiwe bag lake airport?
Huku ni kuichafua nchi na mnawajuwa Wanaijeria hawanaga dogo
Ndio tabia yake,yuko na pride sana..Sasa alizania hapa Tanzania ni kama huko kwao..Jana kwenye iyo shoo yake watu wamefanya vurugu na uharibifu mkubwa je atalipa hizo gharama sababu anadai eti nguo zimechelewa kufika na akakataa kupewa nguo mpya sasa si ufala huo,au hizo nguo zilikua na JUJU.Maana hawa ma Yahoo Boys kwa uchawi mhhh[emoji38][emoji38]nimeona comment ya last week wanamuambia utokee kwenye shoo huko usije ukachimba tuu!he si kaharibu bwana
Kumbe ndo tabia yake[emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Safi sana, sii angevaa hata sketi kama wenzao wa bongo...
Nimeiona kwenye page za Nigeria huko Twitter wanasema ndio tabia yake kuchelewa kwenye showKizz Daniel kalewa sifa hata nchini kwao alishawahi kufanya hivi, yaani anachukua mtonyo alafu analala mbele.Sasa huku Tanzania amekutana na ndugu zake Mandonga wacha wamnyooshe[emoji1787][emoji1787]
Kweli kabsa hii ni wake up call yake,asipojifunza tena yatamkuta mazitooNimeiona kwenye page za Nigeria huko Twitter wanasema ndio tabia yake kuchelewa kwenye show
Hao wanaabudu sana uchawiNdio tabia yake,yuko na pride sana..Sasa alizania hapa Tanzania ni kama huko kwao..Jana kwenye iyo shoo yake watu wamefanya vurugu na uharibifu mkubwa je atalipa hizo gharama sababu anadai eti nguo zimechelewa kufika na akakataa kupewa nguo mpya sasa si ufala huo,au hizo nguo zilikua na JUJU.Maana hawa ma Yahoo Boys kwa uchawi mhhh
Eeh yaani alikuwa ameanza kushine vizuri asipojirekebisha atapotea maana vipaji Nigeria ni vingiKweli kabsa hii ni wake up call yake,asipojifunza tena yatamkuta mazitoo